Ninachofahamu juu ya UB 40 ni kwamba kuna jamaa mmoja alikuwa mahiri saana kwa kuimba kwenye safu ya mbele akiitwa Duncan Campbell almaarufu kama the "Voice of UB 40" na punde baada ya jamaa kuwamwaga na kundi likafia hapo.
Nadhani ukisikiliza kwa umakini nyimbo nyingi za UB 40 utagundua kuna sauti unaisikia zaidi kuliko zingine basi huyo ndo Duncan Campbell.
Nawakubali saana UB 40.