Mwenyeminazi
Senior Member
- May 24, 2012
- 194
- 67
ni kweli kabisa ,sikufanya kosa ,"In this life you get few chances, and if you are not smart enough to grab those chances by the Balls, you will always wounder how you ended up second rated in this life!!!!!!!!!"
Huu msemo ni bonge ya inspiration kwangu! Kila nitaka kuzubaa nikikumbuka few chances, second rated nakurupukaje kukaza kwenye mishemishe!
Wameshakutenda
walimwengu mpaka unakumbuka zilipendwa? jitahidi waweza mpata ila
nahisi kama imekula kwako maana sidhani kama alikusubili
kazi kwelikweli ntaje basi jina maana hapa najihisi bt am not sure , am rede now kukupa chace urekebishe makosa yako, kweli milima haikutani bainadam hukutana, ckutegemea kama ntakupata tena
Tatizo wazazi wetu hawatupi tahadhari tukiwa tunabalehe na kuvunja ungo kuwa kuna kitu kinaitwa mapenzi, mapenzi yanaumiza moyo na yanaweza kukutoa kabisa katika mstari wa maisha.
Jina lako la kwanza ni refu na linaanza na T na sir name yako inaanza na M
Usiniambie baba yake anaumwa hadi leo?sijui kwanini nimekuwa interested na hii thread
ngoja nikuulize we jina lako linaanza na SH
nahisi kuna mtu anafanana na story yako hasa note hizi
mbeya,baba yake mgonjwa,ana jina refu la T na surname ni M
jus curious tu!
Jina lako la kwanza ni refu na linaanza na T na sir name yako inaanza na M