Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 789
- 3,230
Leo wadogo zetu wameanza rasmi mtihani wao wa kidato cha Sita, nawatakia kila la kheri...
Baadhi yetu humu tumepitia huko, je ni nini unakikumbuka siku kama hii?
Mimi nakumbuka Tulipata Gaka tukasolve weeee asubuhi mzigo unaingia Sio....
Nachokumbuka jamaa yangu pembeni ile anafungua tuu kuona sio akashindwa kujizuia..
Alisikika akisema
"Aaaiiiiiiiiiiiiii....." huku kashika kichwa,
Mwingne alitukana "Huu ni U...nge",
Msimamizi alisikika tuu akisema mkomee...
Hapa sasa ndio kila yule akaanza kufa kivyake...
Dk za mwanzo watu walikua hawatulii, full jasho lakini pia kulikua na momment za furaha kila yule akimuangalia mwenzake anavyosota basi ni kucheka bila kupenda, kalamu hazishikiki...
Mwisho wa siku wanaume wakatoboa maisha yakapita leo hii Tupo kwenye mtihani wa Maisha ambao hauna gaka...
Baadhi yetu humu tumepitia huko, je ni nini unakikumbuka siku kama hii?
Mimi nakumbuka Tulipata Gaka tukasolve weeee asubuhi mzigo unaingia Sio....
Nachokumbuka jamaa yangu pembeni ile anafungua tuu kuona sio akashindwa kujizuia..
Alisikika akisema
"Aaaiiiiiiiiiiiiii....." huku kashika kichwa,
Mwingne alitukana "Huu ni U...nge",
Msimamizi alisikika tuu akisema mkomee...
Hapa sasa ndio kila yule akaanza kufa kivyake...
Dk za mwanzo watu walikua hawatulii, full jasho lakini pia kulikua na momment za furaha kila yule akimuangalia mwenzake anavyosota basi ni kucheka bila kupenda, kalamu hazishikiki...
Mwisho wa siku wanaume wakatoboa maisha yakapita leo hii Tupo kwenye mtihani wa Maisha ambao hauna gaka...