Unakumbuka nini kipindi ukiwa bachelor

Unakumbuka nini kipindi ukiwa bachelor

harder king

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
3,970
Reaction score
6,918
Mimi nlikua mvivu balaa
1) mende akiingia ndani nlikua siangaiki nae namuacha ale jeuri yake..hamalizi siku mbili bila kumkuta kafa

2) sikuwai kupika wala kua na jiko

3)nikianua nguo nlikua nazitupa kwenye sofa nazivaa ad ziishe bila kukunja wala kupasi

4)nlikua na pasi lakini naweza kuiwasha mara2 kwa mwaka

5)suruali za kitambaa na mashart zilikua hazivaliwi labda kuwe na tukio maalumu

6)sikuwai kuogea maji ya moto iwe msimu Wa joto au baridi

7)kuna Mshkaji aliamia siku moja kafoce tupike mi nkapika mboga yeye kapika wali,wali ulikua na mawe balaa ukichota kijiko kimoja kina mawe yasiopungua kumi ikabi tumeze bila kutafuna

Kama na wewe unakituko cha kipindi ukiwa bachelor sio mbaya ukashare hapa.
 
Mimi nlikua mvivu balaa
1) mende akiingia ndani nlikua siangaiki nae namuacha ale jeuri yake..hamalizi siku mbili bila kumkuta kafa

2) sikuwai kupika wala kua na jiko

3)nikianua nguo nlikua nazitupa kwenye sofa nazivaa ad ziishe bila kukunja wala kupasi

4)nlikua na pasi lakini naweza kuiwasha mara2 kwa mwaka

5)suruali za kitambaa na mashart zilikua hazivaliwi labda kuwe na tukio maalumu

6)sikuwai kuogea maji ya moto iwe msimu Wa joto au baridi

7)kuna Mshkaji aliamia siku moja kafoce tupike mi nkapika mboga yeye kapika wali,wali ulikua na mawe balaa ukichota kijiko kimoja kina mawe yasiopungua kumi ikabi tumeze bila kutafuna

Kama na wewe unakituko cha kipindi ukiwa bachelor sio mbaya ukashare hapa.
[emoji4] [emoji2] [emoji2] eti wali unamawe
 
Nilitokea diploma kwenda bachelor nikaamini najua vitu kwani sikuwa nimebali gani...lakini test ya kwanza tu nili feli vibaya mnoo.(SHKMOO (MU)MILITARY UNIVERSITY) ALFU MWALIMU WASIMO KAMA ALIJUA AKASEMA KAMA UMEKUJA NA DIPLOMA AU 4M6 IYACHA PALE GETINI.
 
Nilitokea diploma kwenda bachelor nikaamini najua vitu kwani sikuwa nimebali gani...lakini test ya kwanza tu nili feli vibaya mnoo.(SHKMOO (MU)MILITARY UNIVERSITY) ALFU MWALIMU WASIMO KAMA ALIJUA AKASEMA KAMA UMEKUJA NA DIPLOMA AU 4M6 IYACHA PALE GETINI.
Naona kwa makusudi kabisa
Unaamua kwenda kwa reverse[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Duh nimekula sana ugali mayai,ugali visamaki vile site mirror japo nilikuwa free ila mitihani ilikuwa mingi sana mara mama mwenye Nyumba, mara bint yake, kugonganisha magali sasa ilikuwa balaa gheto nilikuwa namakufuli kibao kila demu ana funguo yake na kufuli lake
 
Duh nimekula sana ugali mayai,ugali visamaki vile site mirror japo nilikuwa free ila mitihani ilikuwa mingi sana mara mama mwenye Nyumba, mara bint yake, kugonganisha magali sasa ilikuwa balaa gheto nilikuwa namakufuli kibao kila demu ana funguo yake na kufuli lake
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
bado ni bachelor na sioi leo wala kesho....

naenjoy vifuatavyo.....

najipangia ratiba zangu nitakavyo...

nakula ninachojisikia (aidha kujipikia au hotelini )

sigonganishi magari, mm ni dereva muangalifu.

sipangiwi muda wa kurudi, wengine mpo sehem mmetulia kuisindikiza wkend na muziki laini mara msg na simu zisizoisha ,,uko wap, uko na nan, unarud saa ngap, hizo story nazisikia kwa watu...

naweza kusafiri muda na dakika yoyote kulingana na ratiba zangu za kazi bila bughudha...

maji yapo hapa hapa napokaa... huduma zote muhim pia zipo, kinachonikera ni kufua nguo, nalundika zikiwa nyingi nafua zote , naanza kuvaa zikichafuka nafua tena, kuna kabinti ka mama mwenye nyumba mara kananizoea ila nakuwa kauzu... mara nikianika nguo kananianulia na kuzikunja nikirudi kananigea, nikiwa na mgeni yoyote mwanamke kananuna bila kujua huyo ni nani, kanapenda kuja kucheki movie ila ratba zangu ngum sana, narudi late pia nawahi sana kutoka asbh kwa hyo chance yakunizoea sana hapati na mm sipendi maana nikiwa nae in relation nitashindwa kuleta mwanamke hapa napokaa.. wkend mara chache ndio nakuwepo japo vimizunguko.....

ubachela raha sana, nikifika 30 au 29 nitaoa
 
Kwenda disco hadi asubuhi na hakuna wakuniuliza. Kula maziwa mtindi na mkate usiku. Wali na maziwa mtindi. Kulalia mkate na chai. Kutaka kuozeshwa baada ya fumanizi na Mdogo Wa mama mwenye Nyumba.
 
bado ni bachelor na sioi leo wala kesho....

naenjoy vifuatavyo.....

najipangia ratiba zangu nitakavyo...

nakula ninachojisikia (aidha kujipikia au hotelini )

sigonganishi magari, mm ni dereva muangalifu.

sipangiwi muda wa kurudi, wengine mpo sehem mmetulia kuisindikiza wkend na muziki laini mara msg na simu zisizoisha ,,uko wap, uko na nan, unarud saa ngap, hizo story nazisikia kwa watu...

naweza kusafiri muda na dakika yoyote kulingana na ratiba zangu za kazi bila bughudha...

maji yapo hapa hapa napokaa... huduma zote muhim pia zipo, kinachonikera ni kufua nguo, nalundika zikiwa nyingi nafua zote , naanza kuvaa zikichafuka nafua tena, kuna kabinti ka mama mwenye nyumba mara kananizoea ila nakuwa kauzu... mara nikianika nguo kananianulia na kuzikunja nikirudi kananigea, nikiwa na mgeni yoyote mwanamke kananuna bila kujua huyo ni nani, kanapenda kuja kucheki movie ila ratba zangu ngum sana, narudi late pia nawahi sana kutoka asbh kwa hyo chance yakunizoea sana hapati na mm sipendi maana nikiwa nae in relation nitashindwa kuleta mwanamke hapa napokaa.. wkend mara chache ndio nakuwepo japo vimizunguko.....

ubachela raha sana, nikifika 30 au 29 nitaoa
Dah! Jamaa umenitamanisha sana..
Ongera zikufikie
 
Nilitokea diploma kwenda bachelor nikaamini najua vitu kwani sikuwa nimebali gani...lakini test ya kwanza tu nili feli vibaya mnoo.(SHKMOO (MU)MILITARY UNIVERSITY) ALFU MWALIMU WASIMO KAMA ALIJUA AKASEMA KAMA UMEKUJA NA DIPLOMA AU 4M6 IYACHA PALE GETINI.
Haahhaah
Huyoooo ujaelewa mada huyoooo
Bonge la opiiiiiii
 
Nilitokea diploma kwenda bachelor nikaamini najua vitu kwani sikuwa nimebali gani...lakini test ya kwanza tu nili feli vibaya mnoo.(SHKMOO (MU)MILITARY UNIVERSITY) ALFU MWALIMU WASIMO KAMA ALIJUA AKASEMA KAMA UMEKUJA NA DIPLOMA AU 4M6 IYACHA PALE GETINI.
Sio Bachelor ya chuo kikuu, ni kuwa mtu wakati hajaoa.
 
Kwangu,ratiba ilikuwa,Kazini,Gym,nyumbani kuchek movies,nguo ni t shirt na jinzi tu,mwaka mzima,
Kwenye mambo yetu Yale! Nikipata namba tu,lazima mbuyu uanguke,atasafirishwa hata kama yupo masasi,Mimi nipo Arusha!!!!!kipindi hicho hakuna vin'gamuzi,ni mwendo wa dish tu,EATV ndio mpango mzima
 
Kuishi na mshikaji geto moja harafu kozi tofauti umemalza kipindi unashika simu ijiandae kurudi kupika uokoe matumizi ya pesa, unakutana na ujumbe wa mshikaji 'Nipo na shemeji ako getto" Inabidi uendeleze kuzuga chuo hadi usiku harafu ulienda na nauli tu
 
Dah nyumba niliyokua nakaa get kali halaf bachelor peke yangu ukirudi saa nne unakuta milango bac mzee naanza kugonga madirishani watu wanakausha unaskia sauti zinanong'ona huyu nae si aoe asa usiombe cku ya mechi champions league zile mechi za saa tano kasoro ha ha ha ngoma mpaka narudi hom saa saba yani ilikua lazima nipige viroba nikirudi nagonga geti kwa miguu lazima waamke wafungue huku wamenuna
 
Back
Top Bottom