JET SALLI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,993
- 2,034
1.Dharau iliyokithiri kwa wananchi.
2.Kugeuza wananchi kuwa matahira na
Kuwa hawajui chochote.
3.Kukithiri kwa ufisadi na wizi wa
waziwazi huku serikali ya CCM
ikitazama pasipo kuchukua hatua
yoyote.mfano;Escrow ya juzijuzi
4.Kupitisha sheria kandamizi
zinazoendelea kudidimiza maendeleo
ya watu.
5.Viongoz wa CCM kuthamini maslah
binafsi na familia zao.
7.CCM kutoa ahadi zisizotekelezeka
mpaka tunaingia kwenye uchaguzi
mwingine.
8.CCM kuja na style ileile ya kampeni
hivyo kutokuaminika na wananchi.
9.Umaskini wa wananchi kuzidi
kuongezeka maradufu huku viongozi
wakiwa hawajali chochote.
10.UCHUMI wa nchi kukua kwenye
mifuko ya viongozi huku wananchi
wakiwa taabani,chakula shida,ada za
shule shida,pa kulala shida,watoto
mashuleni wanakaa chini.
11.Wagombea wa CCM kushangaa kila
upuuzi unaoendelea nchini huku wao
ndio wanao ongoza nchi mpaka sasa
na ndio waliolea UOZO uliopo.
TUJIULIZE CCM ICHAGULIWE TENA KWA LIPI KTK HAYO.MIAKA HAMSINI YA UONGOZI WA CCM NI AIBU TUPU.
2.Kugeuza wananchi kuwa matahira na
Kuwa hawajui chochote.
3.Kukithiri kwa ufisadi na wizi wa
waziwazi huku serikali ya CCM
ikitazama pasipo kuchukua hatua
yoyote.mfano;Escrow ya juzijuzi
4.Kupitisha sheria kandamizi
zinazoendelea kudidimiza maendeleo
ya watu.
5.Viongoz wa CCM kuthamini maslah
binafsi na familia zao.
7.CCM kutoa ahadi zisizotekelezeka
mpaka tunaingia kwenye uchaguzi
mwingine.
8.CCM kuja na style ileile ya kampeni
hivyo kutokuaminika na wananchi.
9.Umaskini wa wananchi kuzidi
kuongezeka maradufu huku viongozi
wakiwa hawajali chochote.
10.UCHUMI wa nchi kukua kwenye
mifuko ya viongozi huku wananchi
wakiwa taabani,chakula shida,ada za
shule shida,pa kulala shida,watoto
mashuleni wanakaa chini.
11.Wagombea wa CCM kushangaa kila
upuuzi unaoendelea nchini huku wao
ndio wanao ongoza nchi mpaka sasa
na ndio waliolea UOZO uliopo.
TUJIULIZE CCM ICHAGULIWE TENA KWA LIPI KTK HAYO.MIAKA HAMSINI YA UONGOZI WA CCM NI AIBU TUPU.