Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,198
- 7,539
wakuu, salaam,
Ndugu zangu, kuna kautafiti nafanya.Naomba kama wewe ni mwanachama wa chama chochote cha siasa usiye na maslahi ya moja kwa moja [si kiongozi na husukumwi na kusaka vyeo], unisaidie maswali yafuatayo;
1. Uko chama gani?
2.Unalipia kadi yako kila wakati bila kushinikizwa?
3.Bado unayofuraha na unajivunia kuwa ndani ya chama? au upo tuu kwa kuwa huoni pa kwenda! [usiogope kwa kuwa unatumia fake ID]
4.Ni kitu gani hasa (objectively) unajivunia kwa sasa ndani ya chama chako?
Natanguliza shukurani kwa wote watakaotoa 'useful info' kwa kujibu maswali ya Msingi.
Asante!
Ndugu zangu, kuna kautafiti nafanya.Naomba kama wewe ni mwanachama wa chama chochote cha siasa usiye na maslahi ya moja kwa moja [si kiongozi na husukumwi na kusaka vyeo], unisaidie maswali yafuatayo;
1. Uko chama gani?
2.Unalipia kadi yako kila wakati bila kushinikizwa?
3.Bado unayofuraha na unajivunia kuwa ndani ya chama? au upo tuu kwa kuwa huoni pa kwenda! [usiogope kwa kuwa unatumia fake ID]
4.Ni kitu gani hasa (objectively) unajivunia kwa sasa ndani ya chama chako?
Natanguliza shukurani kwa wote watakaotoa 'useful info' kwa kujibu maswali ya Msingi.
Asante!