Unajisikiaje Mpenzi Uliyemkosea, Anajirudi Kuomba Yaishe Ili Mrudiane!??

Majigo

JF-Expert Member
Feb 23, 2012
5,519
1,825
Yawezekana Ni Girl/Boy Wako Uliyewahi Kumuudhi Kwa Kufanya Yale Hasiyoyapenda...Eidha Ulikunywa Pombe Au Kivingine.

Alipogundua Hayo,Kwa Hasira Anakuambia "Hakupendi Na Amekusamehe Ila Bora Muachane(Bila Kukutusi)"
Ooh My God!!!
Kama Utani Unaamua Kukubali Kuachana Lakini Mkawa Bado Mnaendelea Kujuliana Hari Ya Kimaisha(Simu)
Maisha Yanaendelea,Baada Ya Miezi 5...Mpenzi Huyo Anakutumia Ujumbe Kuwa,
"Anaomba Mrudiane Kwani Zile Zilikuwa Hasira Tu,Lakini Yeye Bado Anakupenda Na Ameielewa Thamani Yako Kwake"

1:Je,Kama Ni Wewe Utajisikiaje?
2:Mkirudiana!!...Hauta Ringa Na Kujiona We Ndo Makitu Yote Kwake?
3:Kwa Ujumla Unalizungumziaje Penzi La Namna Hii?

Tafadhari!!!...Changia Unachokielewa Kwani Ni Mambo Ambayo Yanaigusa Jamii Moja Kwa Moja....Hoja Zote Zitakubaliwa, Ila Pasiwe Na Madharau Kati Yetu Wajameni!!
Haya Tumwagike!!!!
 
Aaaaaaaaaaaaah! Majigoooooooooo! Namna gani veve naleta mada ngumu kama hizi chana yote hiiiiii! Vatu iko choka na kazi za kafiri, na veve leta hizi mada za loosers. Jitu kama namkataa mwenzie, baaaaaaaaaass na ikatafute mtu ingine sio nafanya ingia na toka veve navotaka katika maisha ya venzie!!!!

Kama mimi iko jua sichana jinga jinga ishaambiwa haitakiwi, halafu siku ingine ile jinga anaume narudi na kusema iko penda yeye tena, na venyewe iko samehe!!!!!!!!!!??????????? Mimi ikijua veve IKO CHAPA VEVE BAO TUUUU! Nageuzwa kijiwe cha nyumbani na veve iko ona sawa!!!!!!!!!!!!

Jitu hataki veve, baaaaaaaass veve tafuta anaume ingine!!!!!!!!! Ziko nyingii tu, kama nataka ya kihindi njoo upanga tapata kijana Rajesh nauza duka ya babake pale nazi moja!
 
Aaaaaaaaaaaaah! Majigoooooooooo! Namna gani veve naleta mada ngumu kama hizi chana yote hiiiiii! Vatu iko choka na kazi za kafiri, na veve leta hizi mada za loosers. Jitu kama namkataa mwenzie, baaaaaaaaaass na ikatafute mtu ingine sio nafanya ingia na toka veve navotaka katika maisha ya venzie!!!!

Kama mimi iko jua sichana jinga jinga ishaambiwa haitakiwi, halafu siku ingine ile jinga anaume narudi na kusema iko penda yeye tena, na venyewe iko samehe!!!!!!!!!!??????????? Mimi ikijua veve IKO CHAPA VEVE BAO TUUUU! Nageuzwa kijiwe cha nyumbani na veve iko ona sawa!!!!!!!!!!!!

Jitu hataki veve, baaaaaaaass veve tafuta anaume ingine!!!!!!!!! Ziko nyingii tu, kama nataka ya kihindi njoo upanga tapata kijana Rajesh nauza duka ya babake pale nazi moja!


Haya Bikira, Naona Ishu Za Mapenzi We Ndo Washika Usukani...LOL!
Dah!Roho Iko Choma Mimi Sana Banah,Sijui Khanipa Nini Your Ex-In-law!?
 
Big no no no no no .usirudi done deal done.my principal in life don't fool around my life no trash stuff here and if I made mind it means have a nice day. .i high light and delete
 
Haya Bikira, Naona Ishu Za Mapenzi We Ndo Washika Usukani...LOL!
Dah!Roho Iko Choma Mimi Sana Banah,Sijui Khanipa Nini Your Ex-In-law!?

Aaaaaaaaah! Majigo, na veve anza sikiliza jungu na zushi na kuanza jungua mimi na jungu zao? Mimi iko changia thread yako kwa roho safi kabisaaaaa ila veve napiga JEMBE mimi ya waziwazi kabisa kila mtu iko ona LIVE!!!!!!

Mimi haiko jua nasungumsa habari yako veve mwenyewe, kama ingejua ingepungusa kali ya maneno. Iko omba samahani kama iko boa veve.

Ila sababu najungua mimi bila kosa, basi mimi hapana changia tena thread zako isije tukana mimi kabisa! LOL!
 
xaxa miezi yote hiyo kuwa alikuwa mwenyewe? Au hata kidume kuwa ulikuwa hujapata mwingine?
 
Mhhh hiyo miezi mi0tano sijui mingapi yote alikuwa single tuu anasubiri miujiza imwagike mrudiane
Au alikuwa na sehem amejishikiza akaona hailipi bora arudi kule kule
na wewe ambaye umemwagwa bado ulikuwa single unasubiri miujiza au na wewe ulikuwa na kwingine nawe ukaona hailipi so bora awali ya awali
Inategemea mengi aise maana hapo kama ni kosa asingechukua maamuzi ya haraka kiasi hicho ya kukatisha mawasiliano na vile vile asingechukua muda mrefu hivyo kugundua kuwa alishafanya kosa aje arudi kuja kuomba msamaha
 
jani likishadondoka halirudi tena mtini
mimi nikishakutoa moyoni kwa lisaaa tu huwezi rudi tena
vyombo vipo vingi
 
  • Thanks
Reactions: awp
Big no no no no no .usirudi done deal done.my principal in life don't fool around my life no trash stuff here and if I made mind it means have a nice day. .i high light and delete

Ooh! MAMA!
Kwa Hiyo Nistay Away?
What's Love?
How Some 1, Used To treat Another Feelngs?
 
Aaaaaaaaah! Majigo, na veve anza sikiliza jungu na zushi na kuanza jungua mimi na jungu zao? Mimi iko changia thread yako kwa roho safi kabisaaaaa ila veve napiga JEMBE mimi ya waziwazi kabisa kila mtu iko ona LIVE!!!!!!

Mimi haiko jua nasungumsa habari yako veve mwenyewe, kama ingejua ingepungusa kali ya maneno. Iko omba samahani kama iko boa veve.

Ila sababu najungua mimi bila kosa, basi mimi hapana changia tena thread zako isije tukana mimi kabisa! LOL!

JUS joke Jamani Lara!!
 
Mhhh hiyo miezi mi0tano sijui mingapi yote alikuwa single tuu anasubiri miujiza imwagike mrudiane
Au alikuwa na sehem amejishikiza akaona hailipi bora arudi kule kule
na wewe ambaye umemwagwa bado ulikuwa single unasubiri miujiza au na wewe ulikuwa na kwingine nawe ukaona hailipi so bora awali ya awali
Inategemea mengi aise maana hapo kama ni kosa asingechukua maamuzi ya haraka kiasi hicho ya kukatisha mawasiliano na vile vile asingechukua muda mrefu hivyo kugundua kuwa alishafanya kosa aje arudi kuja kuomba msamaha

Mkoswaji Ndiye Anaomba Yaishe Hapa!!
Vp Kutakuwa Na Mapenzi Shirikishi Hapa?
 
hata kama kwa hasira akasema hanitaki tena................FULL STOP THE END OF THE STORY,
FORWARD FOREVER, BACKWARD NEVER.........GOLD CHANCE NEVER COME TWICE
 
hua siamini katika kuachana na kurudiana.......

Anyway...inategemea na kosa, lets say kaniacha kwa vile nakunywa pombe, anaporudi baada ya miezi mitano anatarajia nini wakati mie pombe bado nakunywa? Si atakuwa karudi kupumzika tu then asepe?

Wengine wanakutafutia visa muachane kwa kuwa kapata mali mpya, akikuta huko ndivyo sivyo atajifanya kurudi......

Uwiiiiii kama tumeachana ndo ishatoka hiyooooooo, maana nitakuwa nishakuyoa moyoni, sasa kama nimestruggle kukudelete kwa moyo, kwa nini nikupokee tena? Ili nije kustruggle tena baadae? Aiiiii
 
Aaaaaaaaaaaaah! Majigoooooooooo! Namna gani veve naleta mada ngumu kama hizi chana yote hiiiiii! Vatu iko choka na kazi za kafiri, na veve leta hizi mada za loosers. Jitu kama namkataa mwenzie, baaaaaaaaaass na ikatafute mtu ingine sio nafanya ingia na toka veve navotaka katika maisha ya venzie!!!!

Kama mimi iko jua sichana jinga jinga ishaambiwa haitakiwi, halafu siku ingine ile jinga anaume narudi na kusema iko penda yeye tena, na venyewe iko samehe!!!!!!!!!!??????????? Mimi ikijua veve IKO CHAPA VEVE BAO TUUUU! Nageuzwa kijiwe cha nyumbani na veve iko ona sawa!!!!!!!!!!!!

Jitu hataki veve, baaaaaaaass veve tafuta anaume ingine!!!!!!!!! Ziko nyingii tu, kama nataka ya kihindi njoo upanga tapata kijana Rajesh nauza duka ya babake pale nazi moja!

huwa nakuwa hoi na comments na shauri zako unazotoa kwa watu ,,,,,teh teh teh teh
 
jani likishadondoka halirudi tena mtini
mimi nikishakutoa moyoni kwa lisaaa tu huwezi rudi tena
vyombo vipo vingi

ayayayah!
Unanichoma Smile,Kuwa Japo Na Maneno Yenye Kuleta Faraja!
Lakini Huoni Kule Kuwasiliana Kunarudisha Hisia?
 
Back
Top Bottom