Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,825
Yawezekana Ni Girl/Boy Wako Uliyewahi Kumuudhi Kwa Kufanya Yale Hasiyoyapenda...Eidha Ulikunywa Pombe Au Kivingine.
Alipogundua Hayo,Kwa Hasira Anakuambia "Hakupendi Na Amekusamehe Ila Bora Muachane(Bila Kukutusi)"
Ooh My God!!!
Kama Utani Unaamua Kukubali Kuachana Lakini Mkawa Bado Mnaendelea Kujuliana Hari Ya Kimaisha(Simu)
Maisha Yanaendelea,Baada Ya Miezi 5...Mpenzi Huyo Anakutumia Ujumbe Kuwa,
"Anaomba Mrudiane Kwani Zile Zilikuwa Hasira Tu,Lakini Yeye Bado Anakupenda Na Ameielewa Thamani Yako Kwake"
1:Je,Kama Ni Wewe Utajisikiaje?
2:Mkirudiana!!...Hauta Ringa Na Kujiona We Ndo Makitu Yote Kwake?
3:Kwa Ujumla Unalizungumziaje Penzi La Namna Hii?
Tafadhari!!!...Changia Unachokielewa Kwani Ni Mambo Ambayo Yanaigusa Jamii Moja Kwa Moja....Hoja Zote Zitakubaliwa, Ila Pasiwe Na Madharau Kati Yetu Wajameni!!
Haya Tumwagike!!!!
Alipogundua Hayo,Kwa Hasira Anakuambia "Hakupendi Na Amekusamehe Ila Bora Muachane(Bila Kukutusi)"
Ooh My God!!!
Kama Utani Unaamua Kukubali Kuachana Lakini Mkawa Bado Mnaendelea Kujuliana Hari Ya Kimaisha(Simu)
Maisha Yanaendelea,Baada Ya Miezi 5...Mpenzi Huyo Anakutumia Ujumbe Kuwa,
"Anaomba Mrudiane Kwani Zile Zilikuwa Hasira Tu,Lakini Yeye Bado Anakupenda Na Ameielewa Thamani Yako Kwake"
1:Je,Kama Ni Wewe Utajisikiaje?
2:Mkirudiana!!...Hauta Ringa Na Kujiona We Ndo Makitu Yote Kwake?
3:Kwa Ujumla Unalizungumziaje Penzi La Namna Hii?
Tafadhari!!!...Changia Unachokielewa Kwani Ni Mambo Ambayo Yanaigusa Jamii Moja Kwa Moja....Hoja Zote Zitakubaliwa, Ila Pasiwe Na Madharau Kati Yetu Wajameni!!
Haya Tumwagike!!!!