hisense hizi frameless ziko poa yaani model latest za 2021 mfano UHD kwa nn nikakwambia ivyo kuna sehemu nyingi za kubet na vibanda umiza vya kuonyeshea mpira wanatumia izo na zinapiga kazi masaa mengi na ile dstv sio poa ila zile sijui LED achana nazo zinachuja ila LED za lg ,samsung na sony ziko bomba
ila katika makapuni hayo ya nchina wa kwanza nampa hisense,then TCL na starx