MjuzeUnajua maana ya Malengo?
Mjuze
Nahitaji kupata mwanga kidogo kutoka kwako unafahamu nini kuhusu malengo? Kabla nami sijasema lolote.Naomba unijuze!
Kwa ufupi malengo ni matarajio niliyoelekeza hisia zangu na nguvu kuyafikia.
Ndiyo huwa nafurahi lakini kuna kitu huwa nahisi hakijakamilika kila ninapotimiza jambo fulani. Nadhani hichi ndicho naweza kukigundua au kukielewa kutokana na maoni yenu.
Wewe unataka kugundua nini.Sijamaanisha kuwa nataka mtu mwingine agundue ninachokitaka ila ningependa tu kupata maoni tofautitofauti ambayo yanaweza toa mwanga kwangu mimi na wengine pia kuhusiana na malengo fulani.
Kama ulizaliwa maisha yako ni nchi kavu lazma uishi ki nchi kavu nchi kavu huwezi ishi majini na ktk maisha uliyoyakuta au waliokutangulia huwezi tofautiana nao maana ulipozaliwa ulilelewa hadi ukijikuta ndo maisha yako hayo hivyo hukuwa na maamuzi yako kipindi uko mtoto na ndio maana upo kama ulivyo sasa hivi..F
Fafanua tafadhari!
Kitu hicho ambacho nahisi kuwa sijatimiza kila ninapofurahia mafanikio fulani.
F
Furaha napata!
Labda niseme hivii, kila ninapokuwa na furaha napata hisia kuwa kuna kitu pia natakiwa nifanye.