unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,505
- 2,862
Es gibt nichts Gutes, außer man tut es. Wanasema wajerumani.
Nimesikia huko kwetu mahali wananchi wameiba vifaa vya mradi wa maji. Sitegemei kuona uzi mrefu toka kwa wazalendo uchwara wanaodai demokrasia kuelezea ubaya wa mambo kama haya.
Kuna wakati najiuliza hivi maendeleo mnayoyataka bila wananchi wenyewe kuhusika yatatokea wapi? Nyie wambea na wadai fake wa demokrasia huwa hamyaoni haya ya msingi na kuyaandikia mauzi marefu au nyie ndo wahusika ili mpate cha kuandika.
Miradi ya maji ni changamoto sana kwa nchi maskini kwa kuwa ina gharama kubwa sana. Lakini inapofika kwetu ndo tunaanza kuichakachua.
Nawaambia ndugu, kwa tunayofanya kwenye public properties mbalimbali bila sisi binafsi kubadilika na kuwa responsible kwa matendo yetu hakuna kitakachofanikiwa na kudumu. Acheni kuandika mautopia. Changamoto za watanzania ni nyingi lakini kubwa ni kukosa respect kwa public properties.
Nimesikia huko kwetu mahali wananchi wameiba vifaa vya mradi wa maji. Sitegemei kuona uzi mrefu toka kwa wazalendo uchwara wanaodai demokrasia kuelezea ubaya wa mambo kama haya.
Kuna wakati najiuliza hivi maendeleo mnayoyataka bila wananchi wenyewe kuhusika yatatokea wapi? Nyie wambea na wadai fake wa demokrasia huwa hamyaoni haya ya msingi na kuyaandikia mauzi marefu au nyie ndo wahusika ili mpate cha kuandika.
Miradi ya maji ni changamoto sana kwa nchi maskini kwa kuwa ina gharama kubwa sana. Lakini inapofika kwetu ndo tunaanza kuichakachua.
Nawaambia ndugu, kwa tunayofanya kwenye public properties mbalimbali bila sisi binafsi kubadilika na kuwa responsible kwa matendo yetu hakuna kitakachofanikiwa na kudumu. Acheni kuandika mautopia. Changamoto za watanzania ni nyingi lakini kubwa ni kukosa respect kwa public properties.