Unafuatilia Sera zinazotolewa na wagombea wa kisiasa?

JF Toons

Digital Art by JF
Feb 19, 2024
32
68

Unafatilia Sera zinazotolewa na wagombea wa kisiasa? Au wewe unachoangalia ni ushindi wa chama chako bila kujali kama kina Sera njema kwa maendeleo ya Taifa?
 
Nigundue nini? Story zile zile..
Nitaleta Maji
Nitarekebisha barabara
Nitasogeza umeme
Nitajenga zahanati
Nita..

Ova anatusaidia vile wakati ni wajibu wa serikali kufanya ivyo.
 
Nigundue nini? Story zile zile..
Nitaleta Maji
Nitarekebisha barabara
Nitasogeza umeme
Nitajenga zahanati
Nita..

Ova anatusaidia vile wakati ni wajibu wa serikali kufanya ivyo.
Unashauri nini kifanyike Mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…