Yaani nimeshangaa mno eti analalamikaLakini kwanini mnaanzisha mahusiano yasiyo na malengo halafu mnakuja kutulilia humu, unachezea hisia za mwenzio ukishaona ameanza kucatch feelings unaanza kumshangaa!
Dunia inaweza kuwa mahala salama kuishi endapo kila mmoja anatakuwa responsible na akifanyacho, ilitakiwa uhakikishe na yeye yupo kwa lengo la kulana tu na si vinginevyo, KARMA.
Mkuu mnipasie kimaradona
Demu mwenye tattoo ni malaya.
Comment tayari.
Huo mwandiko unaendana na mitattoo
Au sio mabaharia wote ni ndugu