Ishu sio kupewa mzigua,kwa umri huu hayo mambo ya kuonja tushaacha,..now tunaangalia maisha,..
Tatzo haujavaa viatu vyangu kiongoz.
Uwe una hariri uandikapo...jibu unalo....jiongezeBint kila siku anakuja na sabab mpya.sasa ameanza sabab za "sitak ahamie sabab nna ademu wengne"
Samahanin lakin kiukwel bint ni kinganganiz sana
Sijawai mfikiria hata sku1 kua ndo awe dem wangu /mchumba
Hyo mitattoo mi namtambulishaje kwa watu wa maana jamen
Skatai anasema alichora zaman na anajutia,ila kwetu bongo mwanamke mwenye tattoo ni ishu nyingne
Mim siwez kiukwel siwezii,huyu dem ni mkali kila idara,tatzo ni hzo tattoo,
Na amengangania a move in sasa hiv mim kwel mdugu zangu wakute mitatoo kwel si aibu,ukizingatia mdingi ni mzee wa kanisa na mama ni ndo kabsaaaa,anashinda church
Daah
Uzi tayar
SawaIngetokea mwana jf m1 kavumbua kitu ningekubali kua jf ni ya ma great thinker,
Pasi na hvyo naona wote ni kanjanja tuu
Kumlala mwanamke ambaye huna ndoa naye ni kumuwowa sijasema kuoa! Ninyi vijana mnaojiita mabaharia hamlijui hili!Soma tena mjomba,mbona speed kal sana
NakaziaHuo mwandiko unaendana na mitattoo
NakaziaHuo mwandiko unaendana na mitattoo