Unafiki wa wanaJF inamaana hamumfeel mchizi kama anavyowafeel?

kama kufall in love na avatar ni zambi acha tu niandikiwe. khaaaa! hakyanani mapigo ya moyo yameongezeka kwa 5% baada ya kuangalia hii avatar

Taratibu please...abulance ziko mbali....zinaweza ziwe bado kule Gongolamboto...! Na sisi bado tunakuhitaji humu....
 
Tunashukuru kwa kutukubali kicheko kinaondoa stress.

Hivi kweli...Nilham naye kadisapia lini??? sijamwona yule mrembo wa kiarabu....au baada ya watu kujua ile picha sio yake... kama yeye alivyosema???
Nilham ana matatizo ya moyo tumuombee.

kamanda tumeanza kukutilia wasi wasi na wewe sasa. hii chain kumbe ni kubwa acha niwasiliane na kamanda mwema.
Hommie hata mimi ? wahusika ni wanajeshi wenyewe isije kuwa wanamalalamiko kama polisi wa misri. Mwenzio siki hizi ni mtori na ndizi moshi kwa kwenda mbele vurugu na mabomu hapana.
 
nina hakika nikifa kwa ajili ya avatar yako nitakuwa nimekufa kifo cha five star. usibishe nitachukia

Hapana usikufe tafadhali...sasa nani atakuchekesha humu??? Mi hapa stress zote kwisha kabisa...nikilala usingizi mololuuu....:clap2::clap2:
 
nina hakika nikifa kwa ajili ya avatar yako nitakuwa nimekufa kifo cha five star. Usibishe nitachukia

umenikumbusha nilivo kuwa mdogo mi na braza tuligongwa na magari dingi alipokuja kutuona akanigombeza eti kwanini nimegongwa na bito wakati braza ye aligongwa na benzi......aiskrimu zote akapewa braza
 
Hapana usikufe tafadhali...sasa nani atakuchekesha humu??? Mi hapa stress zote kwisha kabisa...nikilala usingizi mololuuu....:clap2::clap2:
hehehe senks. jaluo_nyeupe anaweza akacover, kijijini kwao wanamuita kris rok, juzi wamempeleka shopping kigali
 


Duh mkuu kamaliza kila kitu..............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…