Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,587
- 1,136
Moja kwa moja kwenye Mada mpendwa msomaji usikurupuke kuoa ikaingia ukafikiri Kua raha huko Kuna mawili raha na majuto.
Ukimfuatilia mkeo mtarajiwa kwa Makini utaona hivi.. Ukimwonesha unamjali Sana kila muda uko na yeye mwezi mmoja utaona matendo yake Yana utofauti na ukiishi nae ki ubabe ubabe humjali na kama kumjali ni kidogo.
Wanawake kiukweli hawajui wanachokihitaji kwenye ndoa.
Nimemaliza!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimfuatilia mkeo mtarajiwa kwa Makini utaona hivi.. Ukimwonesha unamjali Sana kila muda uko na yeye mwezi mmoja utaona matendo yake Yana utofauti na ukiishi nae ki ubabe ubabe humjali na kama kumjali ni kidogo.
Wanawake kiukweli hawajui wanachokihitaji kwenye ndoa.
Nimemaliza!
Sent using Jamii Forums mobile app