johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Niwe tu Mkweli maneno yale ya Tundu Antipas Lisu yanatimia Hata kama tutakuwa wagumu kukubali
Mpendwa Chongolo Wakati fulani tumeabudu naye pale KKKT Kimara kwa Mchungaji Matsahi Wakati huo akiwa DC Kinondoni, najua maumivu anayopitia nampa pole sana
Yesu alitufundisha " Msikae Barazani kwa wenye Mizaha"
Mungu wa Mbinguni mbariki Tundu Antipas Lisu
Jumaa Mubarak 😀
Mpendwa Chongolo Wakati fulani tumeabudu naye pale KKKT Kimara kwa Mchungaji Matsahi Wakati huo akiwa DC Kinondoni, najua maumivu anayopitia nampa pole sana
Yesu alitufundisha " Msikae Barazani kwa wenye Mizaha"
Mungu wa Mbinguni mbariki Tundu Antipas Lisu
Jumaa Mubarak 😀