Hahaha watoto bwana wanafanya mabadiliko mengi kweli. Sisi siku hizi tunavizia wakiwa anakula. Tunakimbia tunajifungia tunabanjuana mda wakimaliza kula unakuta ndo na namalizia kimoja. Imebidi tubadilishe ratiba ya kula dinner. Uzungu pembeni. Tunatanguliza watoto kwanza maana kama sio hivyo lazima mlango ugongwe kwa nguvu zote