msakhara
JF-Expert Member
- May 26, 2019
- 271
- 370
Kumekua na dhana ya muda mrefu ya kwamba jina analopewa mtu huwa lina athiri haiba yake. Hii inapelekea watu kuwapa watoto wao majina yanayoambatana na watu waliofanikiwa ili wafanikiwe pia.
Lakini pamoja na hayo nimekua nikiona kunabaadhi ya watu hawaendani na majina. Mf. unakuta mtu anaitwa Isaya, ni mwizi, Mohammed ila tapeli au Ronald bangi sana ama Maria mcharukooo.
Wewe unaamini majina yanaathiri watoto kama tunavyoyapa uzito? Kwanini?
Lakini pamoja na hayo nimekua nikiona kunabaadhi ya watu hawaendani na majina. Mf. unakuta mtu anaitwa Isaya, ni mwizi, Mohammed ila tapeli au Ronald bangi sana ama Maria mcharukooo.
Wewe unaamini majina yanaathiri watoto kama tunavyoyapa uzito? Kwanini?