Una lolote la kusema kuhusu hizi picha?

Una lolote la kusema kuhusu hizi picha?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,126
Reaction score
24,424
Hii dunia ina mambo mengi sana.

Duniani kuna utapeli na uwongo wa kutisha mno na unafiki hizi picha zinaongea mengi sana
20250812_221755.jpeg
20250812_221845.jpeg
 
Kwani hao wenye madevu si badae waliachana na mambo ya ugaidi au?
Tatizo huwa linaanzia tu pale binadamu anapojitwisha/kujipa jukumu la kumpgania Allah kiasi cha kuwa radhi kutoa uhai wa binadamu mwingine.
Kuna vikundi kama Islamic jihad wote humu tujiulize hivi vikundi ni mali ya Allah mwenyewe au? Na kama sio harakati zao zina baraka za huyu Allah?
Utashangaa eti unaambiwa sijui mtu fulani huko Nigeria kapigwa viboko hadharani kisa alionekana anakula chakula kipindi cha mfungo wa Ramadhan! Seriously!!!!!!!
Tumuache Allah ajipambanie mwenyewe tusijipe mamlaka ya kuhukumu kwa niaba ya huyo Allah.
Kwa kujikumbusha tu hakuna siku ambayo huyo Allah alitajwa sana kama October 7 yani kila tukio lililofanywa na hamas walikuwa wanaimba "Allahu akbar" sasa wote humu ni watu wazima tujiulize huyo Allah amewasaidiaje hamas na wapelestina!!!!!!???
To conclude! TUMUACHE ALLAH APAMBANE NA HALI YAKE TUSIJIVIKE MAJUKUMU YAKE
 
Kwani hao wenye madevu si badae waliachana na mambo ya ugaidi au?
Tatizo huwa linaanzia tu pale binadamu anapojitwisha/kujipa jukumu la kumpgania Allah kiasi cha kuwa radhi kutoa uhai wa binadamu mwingine.
Kuna vikundi kama Islamic jihad wote humu tujiulize hivi vikundi ni mali ya Allah mwenyewe au? Na kama sio harakati zao zina baraka za huyu Allah?
Utashangaa eti unaambiwa sijui mtu fulani huko Nigeria kapigwa viboko hadharani kisa alionekana anakula chakula kipindi cha mfungo wa Ramadhan! Seriously!!!!!!!
Tumuache Allah ajipambanie mwenyewe tusijipe mamlaka ya kuhukumu kwa niaba ya huyo Allah.
Kwa kujikumbusha tu hakuna siku ambayo huyo Allah alitajwa sana kama October 7 yani kila tukio lililofanywa na hamas walikuwa wanaimba "Allahu akbar" sasa wote humu ni watu wazima tujiulize huyo Allah amewasaidiaje hamas na wapelestina!!!!!!???
To conclude! TUMUACHE ALLAH APAMBANE NA HALI YAKE TUSIJIVIKE MAJUKUMU YAKE
umeongea vizuri sana mkuu,chukua pepsi ya baridi hapo unywe
 
Uislam ni dini inayotumiwa na kila tapeli

Nina uhahika hata shetani mwenyewe atakuwa ni mwisilam na kama si mwisilam bas huenda yeye mwenyewe ndo kaanzisha uislam ili atapel watu
Hivi ni kwanini uislamu unatumiwa kitapeli?
 
Kwani hao wenye madevu si badae waliachana na mambo ya ugaidi au?
Tatizo huwa linaanzia tu pale binadamu anapojitwisha/kujipa jukumu la kumpgania Allah kiasi cha kuwa radhi kutoa uhai wa binadamu mwingine.
Kuna vikundi kama Islamic jihad wote humu tujiulize hivi vikundi ni mali ya Allah mwenyewe au? Na kama sio harakati zao zina baraka za huyu Allah?
Utashangaa eti unaambiwa sijui mtu fulani huko Nigeria kapigwa viboko hadharani kisa alionekana anakula chakula kipindi cha mfungo wa Ramadhan! Seriously!!!!!!!
Tumuache Allah ajipambanie mwenyewe tusijipe mamlaka ya kuhukumu kwa niaba ya huyo Allah.
Kwa kujikumbusha tu hakuna siku ambayo huyo Allah alitajwa sana kama October 7 yani kila tukio lililofanywa na hamas walikuwa wanaimba "Allahu akbar" sasa wote humu ni watu wazima tujiulize huyo Allah amewasaidiaje hamas na wapelestina!!!!!!???
To conclude! TUMUACHE ALLAH APAMBANE NA HALI YAKE TUSIJIVIKE MAJUKUMU YAKE
ALLAH akbar!!!!!!!!!!!!!!
 
Kwani hao wenye madevu si badae waliachana na mambo ya ugaidi au?
Tatizo huwa linaanzia tu pale binadamu anapojitwisha/kujipa jukumu la kumpgania Allah kiasi cha kuwa radhi kutoa uhai wa binadamu mwingine.
Kuna vikundi kama Islamic jihad wote humu tujiulize hivi vikundi ni mali ya Allah mwenyewe au? Na kama sio harakati zao zina baraka za huyu Allah?
Utashangaa eti unaambiwa sijui mtu fulani huko Nigeria kapigwa viboko hadharani kisa alionekana anakula chakula kipindi cha mfungo wa Ramadhan! Seriously!!!!!!!
Tumuache Allah ajipambanie mwenyewe tusijipe mamlaka ya kuhukumu kwa niaba ya huyo Allah.
Kwa kujikumbusha tu hakuna siku ambayo huyo Allah alitajwa sana kama October 7 yani kila tukio lililofanywa na hamas walikuwa wanaimba "Allahu akbar" sasa wote humu ni watu wazima tujiulize huyo Allah amewasaidiaje hamas na wapelestina!!!!!!???
To conclude! TUMUACHE ALLAH APAMBANE NA HALI YAKE TUSIJIVIKE MAJUKUMU YAKE
Allah apiganiwi ,Mungu atailind dini yake sip watu ..wanaopigana wanapigania nafsi zao.
 
Uislam ni dini inayotumiwa na kila tapeli

Nina uhahika hata shetani mwenyewe atakuwa ni mwisilam na kama si mwisilam bas huenda yeye mwenyewe ndo kaanzisha uislam ili atapel watu
One of the worst things is to be an adult and still be a fool!
 
Back
Top Bottom