Una hamu ya kwenda jela?

Wakati wenyewe wanapenda hizo sifa za kijinga...

Wengine wanaenda mpaka kwa waganga ile wawe angalau hata wanakoholewa njiani...


Cc: mahondaw
 
Niliona uzi mmoja wa Barbarosa anashauri watu wachambe kwa tishu, hebu fikiria huyo nyumbu achambe kwa tishu kisha aingie mbugani si atakuwa mzoga wa kutisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…