Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,827
- 15,015
Natamani bigiji ingeuzwa laki,gunia la gomba lingeuzwa jero/
Ccm sare ziwe kaki,chadema wangetinga kijani na yellow/
Igundulike Tiffa ni mtt wa Linex na Zari/
halafu Jackline Wolper ndo alikuwa dalali/
Waza wema sepetu kaolewa na kimbunga/
Salama J ndo mjane wa Kanumba/
Mtt wa Mwamunyange na MSAGA SUMU ni wachumba/
Ben pol ngoma ya sophia angeimba kama Tunda/
Vipi mrisho Mpoto angekuwa Hemed Phd,Angeburuza sana wachumba
Uhawaza Ney wa Mitego awe mfagia barabara/
Halafu Mr Blue konda wa daladala/
Vipi Izzo B ahazimwe Rasta na Afande sele/
Hlafu Masogange amuhazime tako Dyna Nyange/
Vipi Divalovenss angekuwa mchepuko wa mengi/
yayayayaa!!!! hapo tungeona mengi
Baghdad&Roma
Ccm sare ziwe kaki,chadema wangetinga kijani na yellow/
Igundulike Tiffa ni mtt wa Linex na Zari/
halafu Jackline Wolper ndo alikuwa dalali/
Waza wema sepetu kaolewa na kimbunga/
Salama J ndo mjane wa Kanumba/
Mtt wa Mwamunyange na MSAGA SUMU ni wachumba/
Ben pol ngoma ya sophia angeimba kama Tunda/
Vipi mrisho Mpoto angekuwa Hemed Phd,Angeburuza sana wachumba
Uhawaza Ney wa Mitego awe mfagia barabara/
Halafu Mr Blue konda wa daladala/
Vipi Izzo B ahazimwe Rasta na Afande sele/
Hlafu Masogange amuhazime tako Dyna Nyange/
Vipi Divalovenss angekuwa mchepuko wa mengi/
yayayayaa!!!! hapo tungeona mengi
Baghdad&Roma
Last edited by a moderator: