Nimeikuta hii kwenye m23 tweets wakilalamika.
My take: Kwani yale ni maeneo ya m23 au ya Congo DRC government ambayo ndio imeomba msaada wa International organs?. Pia wao si walisema ni wababe wa kila kitu,mbona sasa wanatapatapa na propaganda kila dakika kwenye tweeter account yao?. Vijana waJWTZ na wa SANDIF wamesha ji position maeneo yao.Hapo zinapita choppers tu,je zikifika drones zilizoahidiwa itakuwaje?
My take: Kwani yale ni maeneo ya m23 au ya Congo DRC government ambayo ndio imeomba msaada wa International organs?. Pia wao si walisema ni wababe wa kila kitu,mbona sasa wanatapatapa na propaganda kila dakika kwenye tweeter account yao?. Vijana waJWTZ na wa SANDIF wamesha ji position maeneo yao.Hapo zinapita choppers tu,je zikifika drones zilizoahidiwa itakuwaje?