Umuhimu wa Kutokuwa na CCM Tena

Umuhimu wa Kutokuwa na CCM Tena

mbinguni

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
2,767
Reaction score
1,068
Ni dhahiri kabisa kuwa sasa ndio muda muafaka wa kuikataa na kuizika rasmi ccm.Matokeo ya kidato cha nne yaliyotangazwa jana yanadhihirisha kuwa ccm na serikali yake ni dhaifu(John Mnyika).Migomo halali ya walimu na kada nyingine za wafanyakazi juu ya mustakabali wa mishahara yao iliyopingwa kwa nguvu ya mahakama kuwa sio halali imetuonyesha uhalisia wa serikali hii DHALIMU isiyojali kabisa ubora wa maisha ya wananchi wake.Ifike mahali sasa watanganyika tuwakatae hawa wakoloni weusi kwa njia yeyote ile.Mfano mzuri ni hoja ya msingi ya mbatia kukataliwa kiushabiki na bunge la hawa ccm.Wao maslahi ya umma nyuma na maslahi yao (ccm) mbele.Kila mmoja popote alipo tuunganishe nguvu zetu tuikomboe nchi yetu hapo 2015.
 
Kwa hali hii ya sasa hata vipofu wataona na kuamini..................
 
Nia tunayo sababu tunayo na hata nguvu tunayo tuungane watanzania kwa ujumla wetu kuitoa ccm wala sio kosa tidhama kwa makini utaona ni jinsi gn hawana nia njema nasi 100% naungana na mtoa hoja
 
jamani kwani tulitaka serikali ndio iwafanyie mtihani?
Kwa sababu wengine wamefaulu basi hadi hapo kila mtu abebe msalaba wake
kusoma hawasomi,shule hawaendi,facebook ndio imekuwa shule yao so kuona haya tuyakubali maana hata hiyuo serikali imejitahidi sana hapo hadi yamekuwa hivyo
tusipende laumu serikali sababu wapo wanafunzi waliofaulu pamoja na kutokuwa na walimu mashuleni kwao
 
Back
Top Bottom