Umuhimu wa kuoa

Umuhimu wa kuoa

issa mweusi

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2015
Posts
1,477
Reaction score
1,139
Kuoa kuna umuhimu lakin pia ni jambo linalotakiwa kufanywa upesi kwa wahusika ila kuna ulazima gan wa kukimbilia kuoa au kuolewa kwa kigezo cha umri umesogea?kwa maana wasichana wengi baada ya kumaliza vyuo asilimia kubwa hukimbilia kutaka kuolewa ni kwann?
 
Lala wewe! Kuoa kunakuepusha na uzinzi, kunakupa nafasi ya ku identify mzazi mwenza. Kuna kupa nafasi ya kupata mshirika au msaidizi. N.k
 
Pamoja na elimu ya vyuo na madigree kibao, kuoa /kuolewa ni elimu kubwa ambayo hufanya elimu ya vyuo kuwa bora
 
Back
Top Bottom