UMUHiMU WA BUDGET

Boflo acha masihara yako kwani waliozitumia wana maumbile ya hivo? Kwani wewe ulizipata wapi na namna gani? Au wewe ndo unatumia ha'fu unaanika kwa matumizi ya kesho/ badaye?
 
mh! tuwe makini si unjua juzi wameteketeza contena zima zilikua hazina viwango?bora kuwa na mmoja au kuacha kabisa hayo madude hayana issue wajameni.Tusipokuwa makini tutaisha.
 
Kule njombe wanazihitaji sana, nasikia hutumia mpaka mifuko ya lambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…