Habar zenu, km mada inavyosema mm mama k week 28, nimeenda kuchek ultrasound kwa ajl ya kujua mimba ina miez mingap exactly kwan nilikuwa nachanganya tarehe ya mwisho Wa mzunguko, cha ajab nimeambiwa nina week 28 na mtoto amelala vibaya bado hajageuka kwahyo nimeambiwa naweza kujifungua kwa operation , swali lng ni kwamna je mtoto akilala vibaya anakuwa amelalaje? Je anatakiwa kugeuka week ya ngapi?? Je nifanye nn ili mtoto aweze kugeuka?? Naomben ushaur nimekosa aman