tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,038
Baadhi ya Viongozi wa Umoja wa Makanisa ya Kitume na Kinabii Tanzania, wakiongozwa na rais wa Umoja huo Nabii Dr. Joshua Aram Mwantyala wamehimiza amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
Soma pia: UVCCM Chato yawaonya wanaopanga njama kuvuruga uchaguzi mkuu
Wameeleza kuwa, Wagombea watakaoshindwa kuchaguliwa na wananchi katika Uchaguzi huo, hawana budi ya kukubaliana na matokeo ili kutoleta machafuko ambayo yanaweza kuliingiza Taifa katika migogoro na vurugu.
Soma pia: UVCCM Chato yawaonya wanaopanga njama kuvuruga uchaguzi mkuu
Wameeleza kuwa, Wagombea watakaoshindwa kuchaguliwa na wananchi katika Uchaguzi huo, hawana budi ya kukubaliana na matokeo ili kutoleta machafuko ambayo yanaweza kuliingiza Taifa katika migogoro na vurugu.