Ummy ni bora ungeuliza Mzee kibao yuko wapi?

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,269
Reaction score
13,895
Hao hao CCM wanaokupa madaraka wanajiuliza mpiga kura wako Mzee kibao ambaye alipotea na wewe ukanyamaza. Sasa leo hii unategemea watakuamini vipi. Binadamu wanaogopa watu ambao wanafanya kila kitu hata kuficha hisia zao kwasababu ya kupata cheo

Mifano IGP Mangu alikataa kumpeleleza bila kufuata sheria Lissu mpaka akajiuzulu. Asingeweza kukubali hasa mtu kama Lissu wametoka jamii moja

Nyalandu naye aliacha mpaka ubunge. Sasa Ummy wewe ni uchawa tu kila siku. Lini utakuwa mwenyewe! Achana na unafiki!

Mangu leo ni mwenyekiti wa TPA na yupo na msimamo wake bado
 
Habari haijitoshelezi!
Habari haijitoshelezi!
 
Ila ametusadia bila yeye nani angejua kuwa bimkubwa anakunywa K Vant na kuvuta skanka?
 
Sema Ummy ni mzuri ngoja nitamfute sometimes Wanawake wa aina ya Ummy wanakosa wanaume wenye msimamo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…