Ummy Mwalimu Unakaribia Kusoteshwa Benchi.

Msulibasi

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
5,943
7,919
Mambo ya Muhimbili na jinsi raisi anavyojitoa binafsi na kutowashirikisha ina maana pana . Kumbuka marazote hasemi waziri fuatilia anapiga kimya. Ummy unasubiri media ndo utoe maagizo ulipaswa kuwa na ripoti ya mapungufu ktk hospitali zote za rufaa mikoa na kuweka hadharani mikakati kwa kumobilise resources. Maswala ya kuzindua maduka ya MSD aachiwe MSD .Kama rais katembelea mgonjwa wewe hulazimiki tena . Dada Ummy komaa acha sanaa za awamu ya nne jamaa kashaanza kukuangalia juu chini.Tutambomoa atakaye tukwamishaiiiiiiiiiii
 
Mambo ya Muhimbili na jinsi raisi anavyojitoa binafsi na kutowashirikisha ina maana pana . Kumbuka marazote hasemi waziri fuatilia anapiga kimya. Ummy unasubiri media ndo utoe maagizo ulipaswa kuwa na ripoti ya mapungufu ktk hospitali zote za rufaa mikoa na kuweka hadharani mikakati kwa kumobilise resources. Maswala ya kuzindua maduka ya MSD aachiwe MSD .Kama rais katembelea mgonjwa wewe hulazimiki tena . Dada Ummy komaa acha sanaa za awamu ya nne jamaa kashaanza kukuangalia juu chini.Tutambomoa atakaye tukwamishaiiiiiiiiiii
Magufuli kawaambia wanakazi na siku 100 bado wanajifunza
 
Wao wako busy na kina DR. Mwaka wakati wanaokwenda kwa kina mwaka wana vipato vyao na wamechagua wenyewe, wanaacha kuhangaikia hospital kubwa za mikoa na majiji amabko ndiko wanyonge wengi wana tibiwa. Kesho utamuona Kikwangwala anakimbizana na waandishi wa habari kufuna mageti ya hospital bila kujua anavyowafungia madaktari nje huko ndani ndio huduma inazidi kuwa mbovu.
 
amekimbilia kutembelea hospital ya bombo tanga sijui ni gia ya kutaka kugombea ubunge 2020 sio kila kitu afanye rais ndio maana amewachagua mawaziri kama wasaididzi wake
 
Huyo hawezi kabisa endana Na kasi ya JPM. Maneno mengi vitendo vichache. Ushauri wa bure wa Mawaziri wote, punguzeni maneno/ siasa katika kila jambo fanyeni vitendo ndio vitawaokoa, acheni kulalamila toeni njia na onyesha mfano wa kutekeleza kwa vitendo
 
Sijui huyu Mr. Hapa kazi tu alivutiwa mini kumpa Hutu chadomo uwaziri. Yaani kazi take kuwapa discharge wnna kuwasindikiza kwao mbele ya kamera. Mfano Jana wakati huyo shehe anatolewa kulikuwa na ulazima gani wa yeye kuwepo? Au huyo ni anko wake? Ni kwanini awabague wagonjwa? Au wao ni viongozi mashehe tu? Hii haikukaa sawa na ndiyo maana hafanani na uwaziri wa afya.
 
Back
Top Bottom