Ummy Mwalimu mbona tamko lako halitekelezwi?!

Ummy Mwalimu mbona tamko lako halitekelezwi?!

Nikhil

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2013
Posts
361
Reaction score
120
Wanajamvi poleni na majukumu.Mwishoni wa wiki iliyopita Waziri wa Afya aliwataka wakurugenzi wa halmashauri zote kuwapatia WATUMISHI wapya wa kada ya AFYA mishahara yao ambapo ni miezi mitatu mpaka sasa hawajalipwa na wengine hawajapewa stahiki zao.
Swali ni je mpaka sasa hilo tamshi halijafanyiwa kazi au maana watumishi wanalalamika MISHAHARA hakuna.
Asanteni wadau
 
Kali zaidi kufunga safari rasmi kuja mwanza kuzindua SCANNING MACHINE iliopo hospitali ya Bugando jijini mwanza.
Wakati wodi ya wazazi kina mama wanalala wawiliwawili. Kwenye kitanda kimoja
Upande wa vyooni hata hakuelezeki jinsi palivokua pachafu hadi panatia kichefchefu
 
Ni swala gumu kimtizamo.miezi mitatu bila mshahara sisi tulioko vyuoni kuna kitu tunajifunza
 
Wanajamvi poleni na majukumu.Mwishoni wa wiki iliyopita Waziri wa Afya aliwataka wakurugenzi wa halmashauri zote kuwapatia WATUMISHI wapya wa kada ya AFYA mishahara yao ambapo ni miezi mitatu mpaka sasa hawajalipwa na wengine hawajapewa stahiki zao.
Swali ni je mpaka sasa hilo tamshi halijafanyiwa kazi au maana watumishi wanalalamika MISHAHARA hakuna.
Asanteni wadau
Tafuteni njia nzuri ya kujilipa, kila mtu anakula ofisini kwake
 
Kali zaidi kufunga safari rasmi kuja mwanza kuzindua SCANNING MACHINE iliopo hospitali ya Bugando jijini mwanza.
Wakati wodi ya wazazi kina mama wanalala wawiliwawili. Kwenye kitanda kimoja
Upande wa vyooni hata hakuelezeki jinsi palivokua pachafu hadi panatia kichefchefu
Kusema kweli kunaitajika nguvu ya ziada kwenye sekta za muhimu kama Elimu, na Afya wanafunzi wanakosa madawati,vitabu muhimu vya kusoma ilhali waalimu vijijini hawana nyumba za kuishi. Uku ukiangalia kuna bilioni moja imemwagwa kwa ajili ya kurudia uchaguzi
Ivi Yatasemwa haya ,watu watalalamika hadi lini
 
Wanajamvi poleni na majukumu.Mwishoni wa wiki iliyopita Waziri wa Afya aliwataka wakurugenzi wa halmashauri zote kuwapatia WATUMISHI wapya wa kada ya AFYA mishahara yao ambapo ni miezi mitatu mpaka sasa hawajalipwa na wengine hawajapewa stahiki zao.
Swali ni je mpaka sasa hilo tamshi halijafanyiwa kazi au maana watumishi wanalalamika MISHAHARA hakuna.
Asanteni wadau
kelel za chura? au kelele za mtu mwenye chura
 
UK I angle a Leo tar 29 mwisho wa mwez sioni tumaini lakuupata mshahara nikimuuliza Afisa Utumishi anasema usijali utapata mambo mazuri.ukimbana sana anasema mambo yako nje ya uwezo wangu .hivi kweli ni haki hiyo yakiutumishi tutalalamika hadi lini
 
Ikiwezekana bora kwenda home kusubiri sasa daah ngachoka mi
 
Matamshi ya kisiasa hayo, kwani hao wakurugenzi ndio wamezuia hizo pesa au serikali haijapeleka pesa??
 
wasubirie kwanza tukishaimaliza chadema tutakuwa na pesa za kumwaga. zilizoko sasa hivi ni za kuiua chadema
 
Pesa ya mishahara inalipwa na Benki Kuu moja kwa moja.....suala la Wakurugenzi ni kupeleka taarifa sahihi za hao watumishi hazina ili hazina wawasiliane na Benki kuu moja kwa moja.
 
Wanajamvi poleni na majukumu.Mwishoni wa wiki iliyopita Waziri wa Afya aliwataka wakurugenzi wa halmashauri zote kuwapatia WATUMISHI wapya wa kada ya AFYA mishahara yao ambapo ni miezi mitatu mpaka sasa hawajalipwa na wengine hawajapewa stahiki zao.
Swali ni je mpaka sasa hilo tamshi halijafanyiwa kazi au maana watumishi wanalalamika MISHAHARA hakuna.
Asanteni wadau
Miez mi 3 bira mshahara unaishije ? Ukijumlisha na ugumu wa kazi za watu wa afya hasa ma nurse na ma Dr nadhani ungeshatembea mda tu.....
 
Kali zaidi kufunga safari rasmi kuja mwanza kuzindua SCANNING MACHINE iliopo hospitali ya Bugando jijini mwanza.
Wakati wodi ya wazazi kina mama wanalala wawiliwawili. Kwenye kitanda kimoja
Upande wa vyooni hata hakuelezeki jinsi palivokua pachafu hadi panatia kichefchefu
Kwani mnalazimishwa kwenda Bugando? So mwende Sekou Toure au Butimba!
 
Back
Top Bottom