Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,682
- 32,204
Mama kamwaga mchele mpaka nimempenda
Ukweli upowazi bank nyingi zingine zilianzishwa kwa ajili ya kupitisha pesa zao mnazijua
Zingine kwa ajili ya wakezao kuombea misaada mnazijua
Sasa kuna hii ya wamama leo waziri kawaka sana bank ya wamama mikopo karibu yote mnagaiana na wengine wengi wafanyabiashara tena wa kiume mna msaada ganii
Aikuisha hapo kasema na hili nilisema mna chaj 24% riba kwa wamama mna msaada gani si bora wakaombe dcb ama crdb
Kiukweli hiyo bank mama waziri ikokifitina fitina hataa hao wanawake wanaopataa mikopo minginree wafanyakazii wanasumbua kukuarakishia mpaka utoe kitu aina msaada kabisa
Umempa sikutatu arekebishe riba nakuja kuuliziaa kama wamepunguza
Kumbe hizo pesa mnachukua serikalini bado mnazungushia kwa wanaume loh
Ukweli upowazi bank nyingi zingine zilianzishwa kwa ajili ya kupitisha pesa zao mnazijua
Zingine kwa ajili ya wakezao kuombea misaada mnazijua
Sasa kuna hii ya wamama leo waziri kawaka sana bank ya wamama mikopo karibu yote mnagaiana na wengine wengi wafanyabiashara tena wa kiume mna msaada ganii
Aikuisha hapo kasema na hili nilisema mna chaj 24% riba kwa wamama mna msaada gani si bora wakaombe dcb ama crdb
Kiukweli hiyo bank mama waziri ikokifitina fitina hataa hao wanawake wanaopataa mikopo minginree wafanyakazii wanasumbua kukuarakishia mpaka utoe kitu aina msaada kabisa
Umempa sikutatu arekebishe riba nakuja kuuliziaa kama wamepunguza
Kumbe hizo pesa mnachukua serikalini bado mnazungushia kwa wanaume loh