LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 457
- 1,744
Hii kitu isikie tu, nilikuwaga siamini kama mtu anaweza tembea huku amesinzia.
Kumbe ni kweli aisee kipindi hicho tulikuwa tunaenda madrassa usiku na tuna kesha na asubuhi tunaenda shule kama kawaida
Kuna siku ikitokea kuna harusi au dua tunaenda kukesha kwa kuimba na kupiga dhikri,
Mwalimu wetu alikuwa mkali sana yaani ukisinzia tu anakupiga na tambo au mkanda mgongoni,
Hivyo ilikuwa ni ngumu kumuona mtu anasinzia kabisa
Sasa kwasababu tulikuwa tunatembeaga sehemu mbali mbali, siku moja tunarudi mida ya saa 11 kuna mwenzetu mmoja akawa anasinzia huku anatembea na amefumba macho kabisa tukawa tunamuangalia huku tunamcheka maana alikuwa katikati ya kundi, hii sijui ilitokeaje na wala hajikwai kabisaa.
Sent from my TECNO CA8 using JamiiForums mobile app
Kumbe ni kweli aisee kipindi hicho tulikuwa tunaenda madrassa usiku na tuna kesha na asubuhi tunaenda shule kama kawaida
Kuna siku ikitokea kuna harusi au dua tunaenda kukesha kwa kuimba na kupiga dhikri,
Mwalimu wetu alikuwa mkali sana yaani ukisinzia tu anakupiga na tambo au mkanda mgongoni,
Hivyo ilikuwa ni ngumu kumuona mtu anasinzia kabisa
Sasa kwasababu tulikuwa tunatembeaga sehemu mbali mbali, siku moja tunarudi mida ya saa 11 kuna mwenzetu mmoja akawa anasinzia huku anatembea na amefumba macho kabisa tukawa tunamuangalia huku tunamcheka maana alikuwa katikati ya kundi, hii sijui ilitokeaje na wala hajikwai kabisaa.
Sent from my TECNO CA8 using JamiiForums mobile app