Dingswayo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 4,019
- 2,923
Leo nimesikia kuwa huko Uchina kuna mtu alianzisha blog yake ambayo aliwataka watu wachangie na kuandika kama wametoa rushwa na ni kwa nani. Hata hivyo, baada ya muda blog hiyo ilifungwa kwa vile majina ya wakubwa wengi yaliwekwa hadharani.
Ingekuwa ni jambo zuri pia na sis kuweka hadharani watu wote wanaopokea rushwa ili kutoa huduma kwa wananchi. Mimi nilishawahi kuombwa rushwa ili gari langu litoke haraka bandarini, ama sivyo ningekutana na vizingiti vingi. Nadhani ni wengi wetu yametukuta haya.
Ingekuwa ni jambo zuri pia na sis kuweka hadharani watu wote wanaopokea rushwa ili kutoa huduma kwa wananchi. Mimi nilishawahi kuombwa rushwa ili gari langu litoke haraka bandarini, ama sivyo ningekutana na vizingiti vingi. Nadhani ni wengi wetu yametukuta haya.