Tanzania hii, hasa mijini, ni rahisi kununua vitu vya wizi bila wewe kujua kuwa ni vya wizi.Huu msala omba tu usikukute aisee unaweza kuondoka na Mali zako zingine ambazo hata hazihusiani kabisa na wizi.
Mimi kwa mara ya kwanza nimekutana na huu msala nimenunua tv nch43 nimenunua ikiwa mbovu kioo ili nivune spea almanusura inipeleke ndani.
Japo muhusika au mwenye Mali kasema ilikuwa imevunjika kioo hivo hivo.
Pia nilicho shukuru mwizi ni WA ndani ya familia.
Je, Uliwahi kutana na huo msala na uliishaje?
Na pia kunaweza kukwepeka? Au ni ajali tu inamkuta mtu yoyote.