Lazima receipt, historia, kabla ya kununua kitu, na kama nataka ku take risky, sitakuwa na connection yeyote na Muuzaji baada ya kununua, ila vitu kama:
- Simu
Lazima receipt, na Bora sana ikiwa dukani, ila kununua simu used mtaani kwa mtu usiyemjua na hawa Police ambao uchunguzi na upelelezi ni kipigo, utafia mahereza.