Umeona eeh anatutega

duuuuuh.. Huyu dogo kaumbwa lakini...!!!?
 
wakati dunia inaelekea kutengeneza usafiri wa kwenda Mars...JF tunategwa na kidosho tusiyemtambua
 
Haibiwi mtu hapa, watu tumeona booby traps za "Me love you long time" huko Saigon VietCong, nini mitego ya vipaja vilivyoumwa na mbu jike wa Anopheles.
 
wakati dunia inaelekea kutengeneza usafiri wa kwenda Mars...JF tunategwa na kidosho tusiyemtambua

Ngoja nikanywe COCA.... Waafrika si ni burudani kupunguza Machungu ya WAKOLONI...
 
eheeeeee. ama kweli ukistaajabu mussa utayaona ya firauniiiiiiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…