BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
- Thread starter
- #21
IPTL itawashwa mara moja kama Rais alivyoagiza.tehetheeee
Umesahau Mkuu Tanzania hatuna Rais bali tuna Msanii anayedhani kwamba yeye ni Rais. Huwezi kuwa Rais mwenye madaraka makubwa na kushindwa kuyatumia madaraka yako katika kuiepusha nchi kuelekea katika janga kubwa.