Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 4,167
- 11,490
Kuna sehemu wanakuja wanasimamisha nguzo Barabara Kuu na kusepa. Vipi kuhusu kusambaza nguzo kwa walengwa au wao walipie nguzo?
Kwa mfano: Kijiji/Mtaa/Kitongoji cha Makurunge katika Wilaya ya Kisarawe Mkoa wa Pwani. Wamesimamisha nguzo kwenye Barabara Kuu na kuacha kusambaza nguzo ndogo kwa wananchi.
Wanataka wananchi wajigharamie kuvuta umeme kutoka barabarani mpaka kwenye nyumba zao au nini?
Kwa mfano: Kijiji/Mtaa/Kitongoji cha Makurunge katika Wilaya ya Kisarawe Mkoa wa Pwani. Wamesimamisha nguzo kwenye Barabara Kuu na kuacha kusambaza nguzo ndogo kwa wananchi.
Wanataka wananchi wajigharamie kuvuta umeme kutoka barabarani mpaka kwenye nyumba zao au nini?