UMEME MWANZA SASA UMEKUWA WA UHAKIKA

UMEME MWANZA SASA UMEKUWA WA UHAKIKA

koryo

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2010
Posts
639
Reaction score
278
Nimemshukuru sana Mhe. Muhongo sasa hivi hapa Mwanza umeme umekuwa wa uhakika. Tuna siku kama nne umeme haujakatika na hii imekuwa faraja kubwa ikichukuliwa kuwa umeme ndiyo kila kitu katika maisha ya binadamu. Hii ni aibu kubwa kwa Serikali ya awamu ya nne. HONGERA SANA PROFESA MUHONGO.
 
Bila shaka uzalishaji utaongezeka pia.
 
Atleast Now Ingawa wanaweza Wakakata Nusu Saa Ukarudi.. Ila Inatakiwa Tunakaa. mwaka Mzima Umeme Haujakata Ndo. Tunaweza Anzisha Thread kidogo
 
Tangu lini umeme ukawepo wa uhakika....huku kusafishana huku sijui umepewa nini
 
Huku mpaka tuanaugua maana hatukuzoea kuwaka masaa yote tunahisi hali ya hewa imebadilika
 
Back
Top Bottom