Kuna watu hawana nia ya kuongoza wapo tu kwakua katiba imetaka hivyo...the fact kua tangu waapishwe hawajawahi fanya ziara yoyote ktk wizara wala mashirika ya uma, hawaendi field kuongea na wanainchi wala kutatua kero ambazo wanainchi wanazilalamikia it'a sign kwann tupo hapa tulipo...time will tell, Muda ni mwalimu mzuri.