Hawa jamaa sijui wanafikiriajeKibamba, Mbezi kavu, tangu asubuhi saa 2 hakuna umeme
Wapuzi sana hawa watu!Jaman tanesco arusha vip mbona mnakata umeme bila taarifa mnatuaribia biashara
Inawezekana tunapishana njiani humu😆Naona wamekata kote aseee hata huku kisongo hamna
Inamaana wanabadilisha nguzo nchi nzima?Huenda wanabadilisha nguzo,wanaweka nguzo za sementi
Sasa mbona ni nchi nzima!?Habari ya Jioni.
Tumepata itilafu kwenye njia kuu "Transmission line" inayoleta umeme mkoa wa Arusha.
Tunaendelea kufuatilia tatizo ili umeme uweze kurejea.
Tunaomba wateja wetu muwe wavumilivu..
Maeneo yanayokosa umeme ni mkoa wote wa Arusha.
Imetolewa na Ofisi ya
Uhusiano na Huduma kwa Wateja
TANESCO ARUSHA
12/08/2021.
Sure nipo hapa wamekata na huku kipindi Cha nyuma kukatika umeme ilikuwa ni historia.