Highlander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 3,093
- 1,077
Walahi uchaguzi wa Mitaa ungefanyika kesho mimi nisingepigia kura CCM. Nipo eneo la Maji ya Chumvi Ubungo karibu na jeshini Ubungo Kibangu. Hakuna Umeme siku nzima hapa, wakati maeneo mengine yote ya Ubungo yamekuwa na umeme leo hata kama kwa kuzimika na kuwaka baada ya muda mfupi. Hizi samaki kwenye mafriji inakuwaje? Saa hizi Ubungo yooote ina umeme, jeshini tu ndo hakuna umeme. Sisi wananchi tunaopakana na hili jeshi giza totolo. Tukisema CCM inaajiri watu wabovu kwenye mashirika yetu ya Umma mnasema hoooo...tunageuza kila kitu kuwa cha kisiasa. Hili la kukosesha kambi kubwa namna hii ya jeshi umeme na raia waishio jirani limekaaje jamani, wakati kwingine koooote umeme upo?
UPDATES:
wameuwasha usiku jamani...labda nalo hilo tulisemee. ingawa ata sijui wameuwasha saa ngapi.
lakini bora wamewasha ingalau tupumue leo; labda tutapumua leo...manake watu wenyewe hawa hata hawatabiriki
UPDATES:
wameuwasha usiku jamani...labda nalo hilo tulisemee. ingawa ata sijui wameuwasha saa ngapi.
lakini bora wamewasha ingalau tupumue leo; labda tutapumua leo...manake watu wenyewe hawa hata hawatabiriki