Umeme Arusha

Umeme Arusha

loving

Senior Member
Joined
Aug 27, 2012
Posts
137
Reaction score
34
Arusha ni jiji au ni mfano wa jiji? Mgao wa umeme, biashara zimesimama, vipato vimekuwa duni ... Ninapofanya biashara umeme unakatika Saa 12 kasoro asubuhi Unarudi Saa nne..... Hii ni nchi gani? Au mawaziri wameondoka na umeme wao?
TANESCO tuelezeni ni nini shida
 
Yaani sidhani kama kuna sehemu nyingine inayopata makali ya mgao wa umeme kama arusha.
Yaani hii Tanesco mimi siielewi kabisa hivi kwanini mnatutesa hivi watu wa Arusha?
Shughuli zote zimesimama coz umeme ni kila kitu afu serikali inataka uchumi ukue kwa mtindo huu mtasubiri sana.
 
Umeme sio baba yangu wala mama yangu wakate tu
 
Back
Top Bottom