Umekula Maharagwe Ya Wapi Wewe?

Umekula Maharagwe Ya Wapi Wewe?

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,077
Reaction score
17,260
Ulikuwa unatoka kazini sa2 na wala huendi
nyumbani, unanyoosha kiguu hadi Mabibo
Hostel, unambeba unampeleka kula Mihogo COCO
BEACH...Hata uchovu ulikuwa husikii, Furaha yako
ilikuwa ni kumuona 'BAbe unayemuwinda'
amefurahiSasa umeshampata amesahau kabisa hata Coco Beach kama iko Wilaya ya Kinondoni,Wewe ni
Kazi KAZi KAzi..NimechokaBAby...Baby nna
Stress..Baby Boss wangu ni Kero..Baby sina hela si
unajua najenga...Babe na wewe umezidi
kulalamika...Baby Dinner kila wiki..Babe Ubungo kuja
hapo kuna Foleni sana Baby ntamaliza Mafuta....Ila Mvua ikinyesha unataka Kula Mzigo
Vroooooooommmm..Babe niko hapa NjeHostel njoo
nimekumiss!Yale Mahaba yameishia wapi babangu???
Ile Mihogo Je??Hivi unadhani akijitokeza mwenzio
pembeni akaanza kumpeleka Coco Beach kama
wewe ulivyomzoesha mwanzoni UNADHANI ATAMKOSA??? Thubutu yako! Usimuahidi Mpemba
Halua wakati hujui hata kutengeneza Kashata!
 
Hehehe nimepapenda hapo tu usimuhidi mpemba halua wakati hata halua hujui kuitengeneza
 
Kama nmeshakula mzgo haina haja y kupiteza gharama ht hao watakao muwinda nafkr nao wanania hyhyo mwsho wataacha
 
Kwenye usawa huu wa magu.. mmmmhhhh.... watangoja sana...
 
Sijaelewa muanzishe thread ana maana gani manake inaonekana kama limetoka moyoni lkn sasa profile yake inatatiza
 
Hata mpirani ukishafuzu kwenda hatua ya mtoano, zile dead rubbers huzipi umuhimu sana. I'm just playing.

Peep what I did there.
 
campaign mpaka uchaguzi mwingineeeee, ukishinda jimbo kampeni za nini sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom