it is straight forward... wanasiasa wanacheza karata za ulaji wao, wananchi wa kawaida wanachukua karata na kuanza kuchapana hata kuuana
tumeshaona akina Mbowe na JK, sUMAYE na na Lowassa, Pinda na machozi yake kisha anakuja kusema "wapigwee", Lowassa na JK, Sitta na Lowassa, Slaa na Zitto... wanapiga picha wanacheka, wanakumbatiana, wana bashasha na kila kitu
Kauli zitokazo kwenye ndimi zao zinaangamiza masikini na familia zao, vichocheo vyao vinaleta mitafaruku kwenye misiba, sherehe na hata ujirani, huku wao wakiangalia TV za inchi 72, wanakula nyama za kuoka, wanatafuta cha kutumbandika tena, tusahau shida za kweli za watanzania huku tukisubiri a new political episode to crew our lives
POLITICIANS = DEVILS, EVILS AND HYPOCRITES... THEY EXPLORE PEOPLE ETC
SAD TRUTH