Umefikia muda kwa wapinzani kuungana na CCM, tumechoka kudanganywa

Lulagumye

Senior Member
Sep 30, 2016
102
76
Baada ya kufatilia siasa za nchi yetu nimegundua upinzani tz hakuna, ni porojo tu na project za watu. Toka 1995 story ni ileile ya kuibiwa kura. Kumbe wapinzani wapo kwa ajiri ya ruzuku na misaada kutoka kwa wazungu.

Wapinzani hawana dhamira ya kweli ya kushika dola. poleni vijana mnaotiwa matumaini hewa eti ipo siku upinzani utaingia ikulu.

Kuna kiongozi wa upinzani nimemsikia eti anasema "2020 njia nyeuupee ikulu" na baadhi ya vijana wanaamini kabisaaa na kushangilia bila hata kuhoji "How?"

Wapinzani wanajua kabisa tatizo lilipo ila wamewekeza kuhadaa watu na kubuy time ili tu waendelee kula. maana waliowengi bila hivyo ni ngumu kuendesha maisha yao. kuna options mbili tu hapo

1. Wapinzani waamue kwa dhati kwa namna yoyote ile kabla ya uchaguzi ujao kudai tume huru au katiba mpya itakayobadilisha muundo na upatikanaji wa wajumbe wa tume.

Kenya wameweza, Tz tatizo ni wapinzani wenyewe. Tatizo hatuna upinzani madhubuti ambao umevaa ngozi ya upinzani na uzalendo yaani mvua inyeshe au Jua liwake, usiku au mchana.

2. Wajiunge na CCM ili tanzania iwe na chama kimoja tu. Ili wote wawe ndani ya chungu kimoja.

*NB* Nawashauri vijana wenzangu wawe makini, wanajazwa na kutumiwa kwa maslahi ya viongozi wa upinzani, maana kwa hali ilivyo na mwenendo huu wa upinzani sioni ndoto ya kuingia ikulu.

Wafuasi wa upinzani mtakuwa kama fisi kusubilia mkono udondoke miaka nenda rudi.
 
Baada ya kufatilia siasa za nchi yetu nimegundua upinzani tz hakuna, ni porojo tu na project za watu. Toka 1995 story ni ileile ya kuibiwa kura. Kumbe wapinzani wapo kwa ajiri ya ruzuku na misaada kutoka kwa wazungu.

Wapinzani hawana dhamira ya kweli ya kushika dola. poleni vijana mnaotiwa matumaini hewa eti ipo siku upinzani utaingia ikulu.

Kuna kiongozi wa upinzani nimemsikia eti anasema "2020 njia nyeuupee ikulu" na baadhi ya vijana wanaamini kabisaaa na kushangilia bila hata kuhoji "How?"

Wapinzani wanajua kabisa tatizo lilipo ila wamewekeza kuhadaa watu na kubuy time ili tu waendelee kula. maana waliowengi bila hivyo ni ngumu kuendesha maisha yao. kuna options mbili tu hapo

1. Wapinzani waamue kwa dhati kwa namna yoyote ile kabla ya uchaguzi ujao kudai tume huru au katiba mpya itakayobadilisha muundo na upatikanaji wa wajumbe wa tume.

Kenya wameweza, Tz tatizo ni wapinzani wenyewe. Tatizo hatuna upinzani madhubuti ambao umevaa ngozi ya upinzani na uzalendo yaani mvua inyeshe au Jua liwake, usiku au mchana.

2. Wajiunge na CCM ili tanzania iwe na chama kimoja tu. Ili wote wawe ndani ya chungu kimoja.

*NB* Nawashauri vijana wenzangu wawe makini, wanajazwa na kutumiwa kwa maslahi ya viongozi wa upinzani, maana kwa hali ilivyo na mwenendo huu wa upinzani sioni ndoto ya kuingia ikulu.

Wafuasi wa upinzani mtakuwa kama fisi kusubilia mkono udondoke miaka nenda rudi.
Ushauri mzuri sana turejee kwenye chama kimoja(ccm) kwanza ili tuujenge uchumi wetu.Wanaotaka kupiga domo (siasa) wajazane huko ccm na tuliobaki tukapige kazi.Hii biashara ya ruzuku sasa inakera!
 
Umesema ukweli mtupu lakini hawata kuelewa kwa sababu vichwa bado vinausingizi.
Tutapiga porojo nyingi sana lakini upinzani wa kuitoa ccm madalakani kwa sasa haupo.
 
Waungane na ccm iliwamkabiri nani? Ungesema ktk chguo la pili liwe kuufuta mfumo wa vyama vingi na kubaki na chama kimoja..vinginevyo utakuwa umekurupuka kutafuta kiki
 
Na ni vigumu kwa hawa viongozi kuwa na wazo mandala kwa sababu wameweka mbele masilahi yao.
Hawawezi kuweka mbinu mbadala za kufikia lengo badala yake wanabuni mbinu za kudanganya watu nyakati za kampeni.
Mkuu hata kelele zao za uongo na ukweli zinatufumbua macho
 
Naandika hapa sio mahali pake mtendaji wa jf nikiandika maada yangu huifuta jamaani nikosa nini
 
Baada ya kufatilia siasa za nchi yetu nimegundua upinzani tz hakuna, ni porojo tu na project za watu. Toka 1995 story ni ileile ya kuibiwa kura. Kumbe wapinzani wapo kwa ajiri ya ruzuku na misaada kutoka kwa wazungu.

Wapinzani hawana dhamira ya kweli ya kushika dola. poleni vijana mnaotiwa matumaini hewa eti ipo siku upinzani utaingia ikulu.

Kuna kiongozi wa upinzani nimemsikia eti anasema "2020 njia nyeuupee ikulu" na baadhi ya vijana wanaamini kabisaaa na kushangilia bila hata kuhoji "How?"

Wapinzani wanajua kabisa tatizo lilipo ila wamewekeza kuhadaa watu na kubuy time ili tu waendelee kula. maana waliowengi bila hivyo ni ngumu kuendesha maisha yao. kuna options mbili tu hapo

1. Wapinzani waamue kwa dhati kwa namna yoyote ile kabla ya uchaguzi ujao kudai tume huru au katiba mpya itakayobadilisha muundo na upatikanaji wa wajumbe wa tume.

Kenya wameweza, Tz tatizo ni wapinzani wenyewe. Tatizo hatuna upinzani madhubuti ambao umevaa ngozi ya upinzani na uzalendo yaani mvua inyeshe au Jua liwake, usiku au mchana.

2. Wajiunge na CCM ili tanzania iwe na chama kimoja tu. Ili wote wawe ndani ya chungu kimoja.

*NB* Nawashauri vijana wenzangu wawe makini, wanajazwa na kutumiwa kwa maslahi ya viongozi wa upinzani, maana kwa hali ilivyo na mwenendo huu wa upinzani sioni ndoto ya kuingia ikulu.

Wafuasi wa upinzani mtakuwa kama fisi kusubilia mkono udondoke miaka nenda rudi.
Mkuu Lulagumye, usemayo ni kweli, ila sijui kama hili bandiko litachangiwa sana. Sisi huko nyuma tumeisha zungumza sana tuu.

Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola!, Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla !.

Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

PM, Hon. Mizengo Kayanza Peter Pinda; Sorry, You are very wrong!

Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni .....!
Paskali
 
Baada ya kufatilia siasa za nchi yetu nimegundua upinzani tz hakuna, ni porojo tu na project za watu. Toka 1995 story ni ileile ya kuibiwa kura. Kumbe wapinzani wapo kwa ajiri ya ruzuku na misaada kutoka kwa wazungu.

Wapinzani hawana dhamira ya kweli ya kushika dola. poleni vijana mnaotiwa matumaini hewa eti ipo siku upinzani utaingia ikulu.

Kuna kiongozi wa upinzani nimemsikia eti anasema "2020 njia nyeuupee ikulu" na baadhi ya vijana wanaamini kabisaaa na kushangilia bila hata kuhoji "How?"

Wapinzani wanajua kabisa tatizo lilipo ila wamewekeza kuhadaa watu na kubuy time ili tu waendelee kula. maana waliowengi bila hivyo ni ngumu kuendesha maisha yao. kuna options mbili tu hapo

1. Wapinzani waamue kwa dhati kwa namna yoyote ile kabla ya uchaguzi ujao kudai tume huru au katiba mpya itakayobadilisha muundo na upatikanaji wa wajumbe wa tume.

Kenya wameweza, Tz tatizo ni wapinzani wenyewe. Tatizo hatuna upinzani madhubuti ambao umevaa ngozi ya upinzani na uzalendo yaani mvua inyeshe au Jua liwake, usiku au mchana.

2. Wajiunge na CCM ili tanzania iwe na chama kimoja tu. Ili wote wawe ndani ya chungu kimoja.

*NB* Nawashauri vijana wenzangu wawe makini, wanajazwa na kutumiwa kwa maslahi ya viongozi wa upinzani, maana kwa hali ilivyo na mwenendo huu wa upinzani sioni ndoto ya kuingia ikulu.

Wafuasi wa upinzani mtakuwa kama fisi kusubilia mkono udondoke miaka nenda rudi.
Ni kweli Upinzani uko DHAIFU sana. Na isitoshe hawana ama HAWAJUI mikakati ya vyama vya upinzani. Vijana wanaolia mabadiliko ni kwa sababu ya shida walizo nazo.
Ambazo upinzani hawajui namna ya ku capitalize juu ya hizo.Kwa kifupi, HAWANA AJENDA.

Sikubaliani nawe katika hili la KUJIUNGA na CCM. Hiyo ni kurudisha nyuma nchi miaka ya zamani na hivyo kuifanya CCM ifanye INAVYOTAKA. Hayo ni MAKOSA makubwa sana.

Tukifanya hivyo hakutakuwa na CHECKS and BALANCE katika serikali. Tutakuwa tumejenga Mabwana na Watwana. Watawala na Watawaliwa.
Na maamuzi ya chama KIMOJA yatakuwa ni SHERIA isiyoulizwa.

Nchi sasa ni ya KIDEMOKRASIA yenye vyama vingi. Chama kimoja kikilala usingizi bila KUTIMIZA hadi zake UPINZANI wanawakumbusha. Hii ndo demokrasia.

Jambo lingine SI lazima UPINZANI uongozwe na akina MBOWE na LOWASSA kuna Wengine WASIOTEGEMEWA ambao wanaweza kuibuka na kuwa WAPINZANI wa kweli si watu wenye MAWAZO ya KIKANDA bali MASLAHI ya taifa kikweli.

WASIOOGOPA kufungwa wala MATISHO yasiyo ya Kidemokrasia.
Wanaojua namna ya kujimobilize na ambao wakiona DEMOKRASIA inaminywa ama mwenzao AMSHIKWA kwa KUONEWA wote WANAJAA HUKO na vyombo vya HABARI vya KIMATAIFA na kusema "Kama ndo mnataka kuminya demokrasia basi TUFUNGENI SISI WOTE".

Mimi ninauliza ni serikali IPI itathubutu kuwafunga WAPINZANI WOTE mbele ya macho ya KIMATAIFA? Si itakuwa ni BALAA hata serikali yenyewe ITATETEMEKA?
Na kama kuna ukiukwaji wa KATIBA UTAKOMA. Ni mpinzani gani AMEKIMBILIA UBALOZI wa Magharibi KUDRIVE pointi yake??????

Tukubaliane tatizo wapinzani HAWANA MBINU na ni WAOGA!
Ndo maana wanafanyiwa chochote wanasema Eee wala!!. Tatizo si rais Magufuli . Tatizo ni Wapinzsni wao wenyewe!

Ni lazima tufikirie kama watanzania BEYOND Magufuli.
Magufuli akimaliza MUDA WAKE what NEXT?
 
Mkuu inawezekana, juzi hapa wapinzani wameashinda kwa kuchkua kata nyingi wakaanza kuimba nyimbo za CCM "wameipenda wenyewe
 
Back
Top Bottom