Umeanza mapenzi mwaka gani?

mimi kwa kweli nikiwa na miaka 25 ndo nilianza kwa kweli mpaka sasa sijatulia kabisa watu wananiambia nioe lakini hapana ngoja ninyooshe goti tu mpaka hapo nitakapo tulia
 
mimi kwa kweli nikiwa na miaka 25 ndo nilianza kwa kweli mpaka sasa sijatulia kabisa watu wananiambia nioe lakini hapana ngoja ninyooshe goti tu mpaka hapo nitakapo tulia
Watu kama wewe ndio wanahitajika kwenye jamii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…