Umbulula wa bongo

Kadudu24

Member
Joined
Jan 12, 2013
Posts
20
Reaction score
9
Inashangaza kwa kweli kwa nchi kubwa kama Tanzania inayo sifika kwa amani utulivu na upendo na vitu vingine vingi ila kwenye usafitu ndo tumefeli,eti jiji kuu kama dar halifanyiwi usafi wa uhakika mpaka wageni waje kweli..kweli!!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…