Umasikini unadharirisha sana

yaani haina haja ya kuwalaumu watu wanaofanya illegal activities kujipatia pesa as long hawaumizi mtu.

UKizaliwa familia maskini..kufanikiwa kimaisha ni mtihani sana sana
Isomeke 'unadhalilisha' mkuu najua sie wabantu 'r' na 'l' ni mtihani. Ila umeeleweka. Ila illegal means ni kuchukua risk kubwa sana kwenye kuukwepa ukata ufuta, asante.
 
yaani haina haja ya kuwalaumu watu wanaofanya illegal activities kujipatia pesa as long hawaumizi mtu.

UKizaliwa familia maskini..kufanikiwa kimaisha ni mtihani sana sana
Huna haja ya kujilaumu kupita kias, inasm3kana kuwa uwepo wa pesa sio mpango wa mungu. Ni mpamgo wa binadamu mwenye ubinafsi ndani yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…