S sacrifice 01 New Member Joined Mar 22, 2024 Posts 1 Reaction score 5 Jan 18, 2026 #1 yaani haina haja ya kuwalaumu watu wanaofanya illegal activities kujipatia pesa as long hawaumizi mtu. UKizaliwa familia maskini..kufanikiwa kimaisha ni mtihani sana sana
yaani haina haja ya kuwalaumu watu wanaofanya illegal activities kujipatia pesa as long hawaumizi mtu. UKizaliwa familia maskini..kufanikiwa kimaisha ni mtihani sana sana
Mjusi Sharobalo JF-Expert Member Joined Sep 4, 2025 Posts 7,442 Reaction score 12,709 Jan 19, 2026 #2 Kikubwa mnapumua, mkiambiwa mumuamini mungu hamtaki mnamkimbilia mwamposa.
N'yadikwa JF-Expert Member Joined Aug 10, 2014 Posts 7,990 Reaction score 12,019 Jan 19, 2026 #3 sacrifice 01 said: yaani haina haja ya kuwalaumu watu wanaofanya illegal activities kujipatia pesa as long hawaumizi mtu. UKizaliwa familia maskini..kufanikiwa kimaisha ni mtihani sana sana Click to expand... Isomeke 'unadhalilisha' mkuu najua sie wabantu 'r' na 'l' ni mtihani. Ila umeeleweka. Ila illegal means ni kuchukua risk kubwa sana kwenye kuukwepa ukata ufuta, asante.
sacrifice 01 said: yaani haina haja ya kuwalaumu watu wanaofanya illegal activities kujipatia pesa as long hawaumizi mtu. UKizaliwa familia maskini..kufanikiwa kimaisha ni mtihani sana sana Click to expand... Isomeke 'unadhalilisha' mkuu najua sie wabantu 'r' na 'l' ni mtihani. Ila umeeleweka. Ila illegal means ni kuchukua risk kubwa sana kwenye kuukwepa ukata ufuta, asante.
Kalaga Baho Nongwa JF-Expert Member Joined Sep 27, 2020 Posts 11,293 Reaction score 25,771 Jan 19, 2026 #4 sacrifice 01 said: yaani haina haja ya kuwalaumu watu wanaofanya illegal activities kujipatia pesa as long hawaumizi mtu. UKizaliwa familia maskini..kufanikiwa kimaisha ni mtihani sana sana Click to expand... Huna haja ya kujilaumu kupita kias, inasm3kana kuwa uwepo wa pesa sio mpango wa mungu. Ni mpamgo wa binadamu mwenye ubinafsi ndani yake
sacrifice 01 said: yaani haina haja ya kuwalaumu watu wanaofanya illegal activities kujipatia pesa as long hawaumizi mtu. UKizaliwa familia maskini..kufanikiwa kimaisha ni mtihani sana sana Click to expand... Huna haja ya kujilaumu kupita kias, inasm3kana kuwa uwepo wa pesa sio mpango wa mungu. Ni mpamgo wa binadamu mwenye ubinafsi ndani yake
adriz JF-Expert Member Joined Sep 2, 2017 Posts 15,479 Reaction score 33,508 Jan 19, 2026 #5 Mjusi Sharobalo said: Kikubwa mnapumua, mkiambiwa mumuamini mungu hamtaki mnamkimbilia mwamposa. Click to expand... Tokea ujiunge Jf Leo umeongea point kubwa sana
Mjusi Sharobalo said: Kikubwa mnapumua, mkiambiwa mumuamini mungu hamtaki mnamkimbilia mwamposa. Click to expand... Tokea ujiunge Jf Leo umeongea point kubwa sana
Mjusi Sharobalo JF-Expert Member Joined Sep 4, 2025 Posts 7,442 Reaction score 12,709 Jan 19, 2026 #6 adriz said: Tokea ujiunge Jf Leo umeongea point kubwa sana Click to expand... Huku ni kunikazia sasa, madini yote hayo ambayo huwa natema huyaonagi!
adriz said: Tokea ujiunge Jf Leo umeongea point kubwa sana Click to expand... Huku ni kunikazia sasa, madini yote hayo ambayo huwa natema huyaonagi!
VERBOSE JF-Expert Member Joined Sep 12, 2022 Posts 8,145 Reaction score 12,743 Jan 19, 2026 #7 sacrifice 01 said: yaani haina haja ya kuwalaumu watu wanaofanya illegal activities kujipatia pesa as long hawaumizi mtu. Click to expand... Hua inachukua muda sana kuielewa historia ya Pablo Escobar
sacrifice 01 said: yaani haina haja ya kuwalaumu watu wanaofanya illegal activities kujipatia pesa as long hawaumizi mtu. Click to expand... Hua inachukua muda sana kuielewa historia ya Pablo Escobar
Raymanu KE JF-Expert Member Joined Jan 20, 2022 Posts 10,136 Reaction score 18,787 Jan 19, 2026 #8 Aisee