Umasikini umeongezeka maradufu ndani ya mwaka mmoja tu wa utawala wa Rais Magufuli

Reucherau

JF-Expert Member
Nov 26, 2014
756
1,740
Kilio cha kuongezeka kwa umasikini ndani ya muda mfupi tu wa utawala wa Rais Magufuli si jambo la kubishana.

Watu wanalalamika sana ugumu wa maisha hadi baadhi wamefikia hatua ya kujiua either kwa kushindwa kurejesha mikopo ya benki walipokopa au kushindwa kuhudumia familia. Nina mifano mingi kuonyesha kuwa awamu hii imetusababishia umasikini zaidi kuliko awamu zilizopita-

1. Biashara zimekuwa ngumu sana,kwakuwa purchasing power ya watanzania imeshuka sana, biashara pekee iliobaki atleast na unafuu ni ile ya vyakula lakini sio nguo au manukato au vyombo etc

2. Watu wengi sana wamefunga biashara zao kwakukosa uwezo wa kulipia kodi za frem, na fremu nyingi kwa sasa ziko wazi na kodi yake imeshuka! hakuna biashara, uchumi wa mtu mmoja mmoja umeshuka

3. Mabenki yanatangaza hasara, watu hawakopi tena kwakuwa hawana tena uhakika wa wafanye biashara ipi ili wapate faida

4. Vyakula vimepanda bei maradufu, kununua mfuko wa unga wa mahindi wa kilo 25 ni zaidi ya Tsh 50,000, sukari juu, kiufupi nafaka zote zipo juu; WATU WA MAISHA YA CHINI NDO WANAOUMIA ZAIDI

4. Mitaani watu hawana raha, ukimya umetawala, ile neema na nuru iliyokuwepo kipindi cha JK yote imepotea.

Hali hii hadi lini? inamaana tulichagua serikali ili ije itufanye masikini zaidi ya tulivyokuwa mwanzo! "Ukilalamika unaonekana eti ulikuwa mpiga dili", ni mpumbavu pekee anayeamini kuwa huu utawala una baraka za Mungu
 
Kilio cha kuongezeka kwa umasikini ndani ya muda mfupi tu wa utawala wa Raisi Magufuli si jambo la kubishana. Watu wanalalamika sana ugumu wa maisha hadi baadhi wamefikia hatua ya kujiua either kwa kushindwa kurejesha mikopo ya benki walipokopa au kushindwa kuhudumia familia. Nina mifano mingi kuonyesha kuwa awamu hii imetusababishia umasikini zaidi kuliko awamu zilizopita-
1. Biashara zimekuwa ngumu sana,kwakuwa purchasing power ya watanzania imeshuka sana, biashara pekee iliobaki atleast na unafuu ni ile ya vyakula lakini sio nguo au manukato au vyombo etc
2. Watu wengi sana wamefunga biashara zao kwakukosa uwezo wa kulipia kodi za frem, na fremu nyingi kwa sasa ziko wazi na kodi yake imeshuka! hakuna biashara, uchumi wa mtu mmoja mmoja umeshuka
3. Mabenki yanatangaza hasara, watu hawakopi tena kwakuwa hawana tena uhakika wa wafanye biashara ipi ili wapate faida
4. Vyakula vimepanda bei maradufu, kununua mfuko wa unga wa mahindi wa kilo 25 ni zaidi ya Tsh 50,000, sukari juu, kiufupi nafaka zote zipo juu; WATU WA MAISHA YA CHINI NDO WANAOUMIA ZAIDI
4. Mitaani watu hawana raha, ukimya umetawala, ile neema na nuru iliyokuwepo kipindi cha JK yote imepotea.
Hali hii hadi lini? inamaana tulichagua serikali ili ije itufanye masikini zaidi ya tulivyokuwa mwanzo! "Ukilalamika unaonekana eti ulikuwa mpiga dili", ni mpumbavu pekee anayeamini kuwa huu utawala una baraka za Mungu
Acha upambavu,
Unampotosha nani??

Huku mtwara tuna pesa hadi za kununulia soda mbuzi
 
Kama ulikuwa tajiri awamu ya kikwete basi awamu hii unarudi kwenye Umaskini.


Kama ulikuwa Maskini awamu ya Kikwete basi awamu hii unarudi kwenye Ufukara(Umaskini ulio kufuru)

Kama ulikuwa Fukara(Umaskini uliokufuru) awamu ya Kikwete basi awamu hii ndio huji kutoka kwenye hiyo hali.
 
Mkuu unayoyaongea yana ukweli ndani yake ila mimi nimejifunza kitu kimoja kuishi kwa uadilifu na kupata kipato cha haki ni jambo la maana. Watu wengi waliishi maisha ambayo siyo yao.
 
Kama ulikuwa tajiri awamu ya kikwete basi awamu hii unarudi kwenye Umaskini.


Kama ulikuwa Maskini awamu ya Kikwete basi awamu hii unarudi kwenye Ufukara(Umaskini ulio kufuru)

Kama ulikuwa Fukara(Umaskini uliokufuru) awamu ya Kikwete basi awamu hii ndio huji kutoka kwenye hiyo hali.
Mkuu umesema ukweli, hali ni ngumu sana mitaani, watu wamefunga fremu zao za biashara hadi utawaonea huruma! hali ni mbaya sana
 
Kilio cha kuongezeka kwa umasikini ndani ya muda mfupi tu wa utawala wa Raisi Magufuli si jambo la kubishana. Watu wanalalamika sana ugumu wa maisha hadi baadhi wamefikia hatua ya kujiua either kwa kushindwa kurejesha mikopo ya benki walipokopa au kushindwa kuhudumia familia. Nina mifano mingi kuonyesha kuwa awamu hii imetusababishia umasikini zaidi kuliko awamu zilizopita-
1. Biashara zimekuwa ngumu sana,kwakuwa purchasing power ya watanzania imeshuka sana, biashara pekee iliobaki atleast na unafuu ni ile ya vyakula lakini sio nguo au manukato au vyombo etc
2. Watu wengi sana wamefunga biashara zao kwakukosa uwezo wa kulipia kodi za frem, na fremu nyingi kwa sasa ziko wazi na kodi yake imeshuka! hakuna biashara, uchumi wa mtu mmoja mmoja umeshuka
3. Mabenki yanatangaza hasara, watu hawakopi tena kwakuwa hawana tena uhakika wa wafanye biashara ipi ili wapate faida
4. Vyakula vimepanda bei maradufu, kununua mfuko wa unga wa mahindi wa kilo 25 ni zaidi ya Tsh 50,000, sukari juu, kiufupi nafaka zote zipo juu; WATU WA MAISHA YA CHINI NDO WANAOUMIA ZAIDI
4. Mitaani watu hawana raha, ukimya umetawala, ile neema na nuru iliyokuwepo kipindi cha JK yote imepotea.
Hali hii hadi lini? inamaana tulichagua serikali ili ije itufanye masikini zaidi ya tulivyokuwa mwanzo! "Ukilalamika unaonekana eti ulikuwa mpiga dili", ni mpumbavu pekee anayeamini kuwa huu utawala una baraka za Mungu
kama ubadhilifu wa serikali ndio ilikua uchumi wako awamu hii lazima uone uchumi umeshuka kwa vile dili zimekufa. kodi inakusanywa kwa umahiri halafu inatapanywa na vigogo.
 
Mkuu unayoyaongea yana ukweli ndani yake ila mimi nimejifunza kitu kimoja kuishi kwa uadirifu na kupata kipato cha haki ni jambo la maana. Watu wengi waliishi maisha ambayo siyo yao.
NAAPA UNASEMA UONGO; KUNA WATU WALIKUWA NA BIASHARA ZAO HALALI KABISA LAKINI WAMEZIFUNGA ; ISSUE NI KWAMBA WATEJA WAMEKUWA MASIKINI MNO HAWAJI KUNUNUA
 
kama ubadhilifu wa serikali ndio ilikua uchumi wako awamu hii lazima uone uchumi umeshuka kwa vile dili zimekufa. kodi inakusanywa kwa umahiri halafu inatapanywa na vigogo.
Eti kodi inakusanywa! ujinga mtupu, hebu uliza utekelezaji wa budget ya 2016/17 ndo uje na hii propaganda! hakuna cha ajira wala fedha za maendeleo! we wizara kubwa kama ya kilimo, uvuvi na mifugo imepokea 2.2% tu ya budget!!!! hebu tuondolee fungus wako kichwani
 
NAAPA UNASEMA UONGO; KUNA WATU WALIKUWA NA BIASHARA ZAO HALALI KABISA LAKINI WAMEZIFUNGA ; ISSUE NI KWAMBA WATEJA WAMEKUWA MASIKINI MNO HAWAJI KUNUNUA
mkuu umesoma vyema comment yangu. Nimekubaliana na mtoa mada ila kuna watu wanalalamika maisha magumu kwa vile walikuwa wana fake maisha yao.
 
Back
Top Bottom