Suleiman755
JF-Expert Member
- Apr 1, 2018
- 274
- 207
Mhn!Ebu funguka zaidi bhana!Mi nakumbuka ile ya Kolimba tu. Nyingine ni ya "ungaunga" wa Chenge "joka lenye makengeza", aliyekuwa akiwanga kwenye ukumbi wa bunge akakamatwa. Ule ungaunga ukapelekwa kwa mkemia mkuu ambaye alikuwa msukuma mwenzake. Wakasema ulikuwa unga wa mahindi.
R.I.P Dr Omari Ali JumaaNimekumbuka umafia haujaanza leo, waKati wa uongozi wa mzee fulani katika nchi moja ya kusadikika, walipanga mpango wa kummliza kiongozi mmoja maarufu,
Kwa kuwa alikuwa awe mgeni rasmi wakaweka sumu maalumu kwenye microphone atakayotumia yeye na ile sumu ilikuwa inaanza kufanya kazi baada ya masaa kadhaa ambayo mlengwa.ndo angeanza kuhutubia,
Kwa bahati mbaya akapata Dharula hakuenda kwenye sherehe ile,
Wakamwambia msaidizi wa pili ambaye ndo anafuata baada ya mkulu kwamba basi we kahutubie, ambao walimwambia hawakujua kilichokuwa kinaendelea, pia alijua mtu mmoja tu ambaye alianza kulia kabla hata jamaa hajaanza kuhutubia, ikabidi anyanyuke aende chooni akajifuta na kurudi, hii ni kabla hajaumia mguu,
R.I.P
View attachment 903931
Exactly, wakati wa maonesho ya Sabasaba 2001Nasikia target ilikuwa Kagame right??
Dr.Omari Ali Jumaa, Kagame ni akili kubwaaaz!Halafu nani akaondoka?
Yah siku chache kabla ya sabasaba....mchana kahutubia namuona kwenye runinga kesho yake asubuhi ndio habari zikaanza kusambaa kwamba kafa usiku.Nakumbuka ilikua tarehe 04.07.2001 kama sijakosea ingawa nilikua mdogo lakini nilielewa
Kumbe wakuu ni kagame, sababu ilikuwa nini sassExactly, wakati wa maonesho ya Sabasaba 2001
Nimekumbuka umafia haujaanza leo, waKati wa uongozi wa mzee fulani katika nchi moja ya kusadikika, walipanga mpango wa kummliza kiongozi mmoja maarufu,
Kwa kuwa alikuwa awe mgeni rasmi wakaweka sumu maalumu kwenye microphone atakayotumia yeye na ile sumu ilikuwa inaanza kufanya kazi baada ya masaa kadhaa ambayo mlengwa.ndo angeanza kuhutubia,
Kwa bahati mbaya akapata Dharula hakuenda kwenye sherehe ile,
Wakamwambia msaidizi wa pili ambaye ndo anafuata baada ya mkulu kwamba basi we kahutubie, ambao walimwambia hawakujua kilichokuwa kinaendelea, pia alijua mtu mmoja tu ambaye alianza kulia kabla hata jamaa hajaanza kuhutubia, ikabidi anyanyuke aende chooni akajifuta na kurudi, hii ni kabla hajaumia mguu,
R.I.P
View attachment 903931
Unataka kusemajeDunia hii haitaji ujuaji, ukijifanya mjuaji kuna watu wanajua zaidi yako!
Kabisaakuna ajali zinazowakumba wapinzani wanaoonesha muelekeo wa kumng'oa mwenyekiti wao ...huo ni umafia wa hatari
Huyu tulikuwa Apollo wote wakati anaumwa aliisha sana wakasuspect ni kansa akaanzishiwa chemotherapy ingawa alipigwa mzunguko mmoja maana walisema haikuwa stage mbaya sana akaruhusiwa ila hakuchukua muda nikasikia tayariAlipo rizmoko
Yasiyo Na ushahidi ya story za vijiweniJamaa anajua mengi zaid huyu
hapana alishafariki kwa kansa ya damuSahivi yuko chadema
Mhn!Ebu funguka zaidi bhana!Mi nakumbuka ile ya Kolimba tu. Nyingine ni ya "ungaunga" wa Chenge "joka lenye makengeza", aliyekuwa akiwanga kwenye ukumbi wa bunge akakamatwa. Ule ungaunga ukapelekwa kwa mkemia mkuu ambaye alikuwa msukuma mwenzake. Wakasema ulikuwa unga wa mahindi.
Bwana Mdogo naye kumbe. Eleza kidogo umenistuaSteven kibona
Gilman rutihinda
Horace kolimba
Imran kombe
Omar Ali juma
Bwanamdogo
Bensanane
Azory gwanda
Ushaambiwa hakuwa target ndiyo maana Mheshimiwa Mudhihir Moh'd Mudhihir, Mbunge wa Mchingaaa enzi hizo alianza kulia baada ya kuona chezo limegoma alietegewa tego amepata emergency na kumtuma msaidizi wake.Yah siku chache kabla ya sabasaba....mchana kahutubia namuona kwenye runinga kesho yake asubuhi ndio habari zikaanza kusambaa kwamba kafa usiku.
Radio mbao zinasema alikuwa akiunga mkono Pemba kujitenga, wakati mapema mwaka huo huo BWM alikuwa amefanyiza visiwani.